Kumbe biological weapons zilianza mbali

DAAAH NIMEKUMBUKA NILIANGALIA SERIES YA STRIKE BACK KUNA PROJECT YA SMALL POX AS A BIOLOGICAL WALIFANIKIWA KUIZIMA
 
Hawa watu wanaotengeneza hizi silaha, HIV, corona nk. Wakusanywe na watumbukizwe kwenye kina kirefu cha bahari, wasionekane katika uso wa Dunia.
 
Hawa watu wanaotengeneza hizi silaha, HIV, corona nk. Wakusanywe na watumbukizwe kwenye kina kirefu cha bahari, wasionekane katika uso wa Dunia.
Nani awakamate wakati wao wameshikilia dunia,kidini,kiserikali ,kijesji li uchawi nk.
 
Biological weapons n hatar sana
 
Inawezekana ni hawa tunaocheka nao kwa jina la Yesu. Naamini Mungu wa kweli bado binadamu hatujamtambua, kila mtu aombe kwa imani yake ya asili ili huyu Mungu awaangamize hawa wanafiki. Unaunda silaha ya kuangamiza Dunia, sasa nani abaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…