HII KALI YA TAIFA:
Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Dk Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama NW Dk Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Dk Ashuta) na nusu nyingine (chumba kimoja) ipo Tanzania (aliposimama NW Dk Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya anatafuna na askari wa bongo hawamfanyi kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app