Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Aliestaafu kuimba taarabu juzi juzi.Lord eyes ndo nani? Ni yule jamaa wa buguruni anaetoboa watu macho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliestaafu kuimba taarabu juzi juzi.Lord eyes ndo nani? Ni yule jamaa wa buguruni anaetoboa watu macho?
Lord Eyez ni kibaka na mbwia ngada, nashangaa sana unavyomtetea au na wewe ni miongoni mwa watu wenye hulka ya kina Lord Eyez? Hivi mtu kama huyu pamoja na ukibaka wake bado unamtetea:Acheni utoto kwa hiyo lord eyes aache Kazi zake ajitokeze kumlilia ray c ambaye juzi katoroka rehab?
Wewe ungekuwa ni mtoto wangu ningekupeleka mbeya day secondary school.
Mkuu mkamate umpeleke polisiLord Eyez ni kibaka na mbwia ngada, nashangaa sana unavyomtetea au na wewe ni miongoni mwa watu wenye hulka ya kina Lord Eyez? Hivi mtu kama huyu pamoja na ukibaka wake bado unamtetea:
LORD EYEZ AMUIMBIA OMMY DIMPOZ NAE AMUANIKA LIVE KWENYE TWITTER!!! YAANI NI NOUMER...!!! | JESTINA GEORGE
Wewe ni Dada yake ray c?Waswahili husema ndege wafananao ndio warukao pamoja. Bila shaka nyote mnafanana, sishangai kuisikia kauli kama hizo kutoka kwenye fikra zako.