johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Imebomolewa mkuu naona UVCCM wanataka kufanya uwekezaji mkubwa sana pale Kinondoni!Hee Mango kumebomolewa?
Uvccm wamechjua eneo lao lote pale hadi kwa ben kinyaiya ....frem zote zile wamevunja Madai Yao wanataka kujenga mallHee Mango kumebomolewa?
Mzee tairo wa mango anahamia afrikana n'a new mangoHee Mango kumebomolewa?
I seeImebomolewa mkuu naona UVCCM wanataka kufanya uwekezaji mkubwa sana pale Kinondoni!