Kumbe Dar ndivyo ilivyo, sikujua!!

Kumbe Dar ndivyo ilivyo, sikujua!!

mwanike wa ukaya

Senior Member
Joined
Feb 3, 2017
Posts
115
Reaction score
79
0ee403bb01ac87ad3bc244dc345f9105.jpg
.



Habarini wanajukwaa. Kwanza nitoe pongezi sana kuwepo hii forum kwani imenisaidia mengi sana hadi mda mwingine nikikaaga kuwaza kwanini nilichelewa kuwepo humu ila tatizo sio Mimi ni mazingira na uchumi

Stori iko hivi!___

Sikuwahi waza kuna dar kuzurula bila kazi ,au nikae siku moja na kurudi hapana ila nlitamani nikae muda mrefu ili nilijue jiji na sikua na jinsi nyingine zaidi ya Kusoma na namshukuru Mungu mama ndalichako ameona kuwa ninazo sifa za kusoma huku

Nilipofika nlikuwa naogopa na kuiona dar kama ulaya lakini nikajikuta siku nimeanza kupazoea
Kuna siku nliona ni vyema nielekee taifa kuwacheki yanga ya darisalama na ndipo wahuni wakaimezea smartphone yangu iliyokuwa inaonekana Kwa mfuko Wa suruali na nashkuru Mungu katika harakati za kuichomoa nikashtuka na kutumia kaujanja nlikokapata jeshin nkaichukua nikawa nimesalimika

Shida Jana kuna jamaa kaniambia nimsindikize kariakoo kununua Samsung Galax si unajua yeye katokea town kidogo kuliko Mimi interior ....Tukafika Salama tukataka kununua dukani ila kabla hatujaingia akaja teja .mmoja alikua na Galax mashine ...kaifunga Kwa Rambo kajifanya kakwapua na anataka laki duh.. Tukaona ni neema kwetu kwani bei yake ilikua simple .. Tukashauriana kidogo ikabidi jamaa achome walet na kumpa ..tukapotea ..baada ya dakika chache jamaa kaniambia mbona ile soap. Dah. Sikuamini. Dah ama kweli mjini kuna wajanja ...

Tunaomba semina ya nguvu Kwa govt jamani hali sio nzuri ... Watanifanya niwe nashinda ndani kwakweli. Dah.... Mimi mshamba toka k..........
 
We mleta mada bado wa kuja sana. Yani ni leo unajua au kuona such things ??....Hzi issue zipo over 10 years ago.

Huko kitaa ukipigwa roba za mbao si utatangaza social media zote. [emoji23][emoji23]
 
Kwani huko ulikotoka hukuwahi hata kufika mjini ya kwenu? Maana wizi wa aina hyo hata mikoani upo sana tu..
 
Karibia mjini sas
Afu watu kama hawa ndo wateuliwe kuwa wakuu wa mkoa.. Yaani mtu kakulia huko porini kaja mjini kwa sababu ya shule tu na zali limdondokee apate ka ukuu wa mkoa!! Ndo kinachotutesa kwa bashite na baba ake yaani wote ndo walipaswa kuwa wawe wanauziwa sabuni huko kariakoo sasa badala yake ndo wanatuongoza kha...
 
0ee403bb01ac87ad3bc244dc345f9105.jpg
.



Habarini wanajukwaa. Kwanza nitoe pongezi sana kuwepo hii forum kwani imenisaidia mengi sana hadi mda mwingine nikikaaga kuwaza kwanini nilichelewa kuwepo humu ila tatizo sio Mimi ni mazingira na uchumi

Stori iko hivi!___

Sikuwahi waza kuna dar kuzurula bila kazi ,au nikae siku moja na kurudi hapana ila nlitamani nikae muda mrefu ili nilijue jiji na sikua na jinsi nyingine zaidi ya Kusoma na namshukuru Mungu mama ndalichako ameona kuwa ninazo sifa za kusoma huku

Nilipofika nlikuwa naogopa na kuiona dar kama ulaya lakini nikajikuta siku nimeanza kupazoea
Kuna siku nliona ni vyema nielekee taifa kuwacheki yanga ya darisalama na ndipo wahuni wakaimezea smartphone yangu iliyokuwa inaonekana Kwa mfuko Wa suruali na nashkuru Mungu katika harakati za kuichomoa nikashtuka na kutumia kaujanja nlikokapata jeshin nkaichukua nikawa nimesalimika

Shida Jana kuna jamaa kaniambia nimsindikize kariakoo kununua Samsung Galax si unajua yeye katokea town kidogo kuliko Mimi interior ....Tukafika Salama tukataka kununua dukani ila kabla hatujaingia akaja teja .mmoja alikua na Galax mashine ...kaifunga Kwa Rambo kajifanya kakwapua na anataka laki duh.. Tukaona ni neema kwetu kwani bei yake ilikua simple .. Tukashauriana kidogo ikabidi jamaa achome walet na kumpa ..tukapotea ..baada ya dakika chache jamaa kaniambia mbona ile soap. Dah. Sikuamini. Dah ama kweli mjini kuna wajanja ...

Tunaomba semina ya nguvu Kwa govt jamani hali sio nzuri ... Watanifanya niwe nashinda ndani kwakweli. Dah.... Mimi mshamba toka k..........


Siku nyingine ukienda mjini jitahadhari kutoangalia magorofa kwani utatozwa faini ya hajabu.
 
Afu watu kama hawa ndo wateuliwe kuwa wakuu wa mkoa.. Yaani mtu kakulia huko porini kaja mjini kwa sababu ya shule tu na zali limdondokee apate ka ukuu wa mkoa!! Ndo kinachotutesa kwa bashite na baba ake yaani wote ndo walipaswa kuwa wawe wanauziwa sabuni huko kariakoo sasa badala yake ndo wanatuongoza kha...


Usiwe mshamba wewe, kuishi mjini hakuondoi ujinga wa mtu. Wangapi wamekulia hapa Dar mpaka sasa hawajitambui?
 
Polen sna Pia karib Darisalama .Hii ni baadhi ya mifan ya wizi unaofanyka
Changa la macho:mara nyingi wizi huu unafanyka sehem yeny watu weng na mwzi anaweza kukuonesha bidhaa halis ila munapokua kweny mapatano ya bei ndipo mwenzake anakuja kwa nyuma na wanabadilshana .kwakua kuna watu weng ni ngumu sana kujua na kuwapata .
:Ndole au kwa jina jingne chadema' .vidole viwil vinatumika kuchomoa kama ni wallet au hela na hata simu kweny mifuko ya suruali au hata hand bag pia wahalifu wanaweza kukuchania na wembe hand bag ukiwa kwenye maeneo ya watu ima kweny kituo cha basi au kwenye pirka.
:Cutting 'hii maarufu sana uswahilini na ni wakat wa usik mnene .Mwizi anakata wavu wa dirisha kwa kutumia kifaa maalum cha kukatia haraf anakua na mti mrefu mbele ya mti anafunga kipande cha ndala au sponch ngumu na baada ya kugundua mal ilipo kwa kutumia toch hupaka gundi mbele ya mti na kugusisha kama ni sim ,pesa nk.
:Funga mtaa:hii kund la vibaka huvamia na kupora chochte.
:kabali yani kukabwa
:Bwagabwaga nk
 
Haiingiii akilini yaan matangazo yote haya ya TCRA kuhusu simu Feki mmeshindwa hata kuifungua kwanza na kuweka Laini!!!!
 
Usiwe mshamba wewe, kuishi mjini hakuondoi ujinga wa mtu. Wangapi wamekulia hapa Dar mpaka sasa hawajitambui?
Kasome tena comment yangu ndo uje unijibu hapa... Sijasema kuishi mjini ndo kuondoa ujinga.. Ila nimeongelea tofauti kati ya walozaliw mjini na kijijini na hii ipo tu hata ukipinga vipi..
 
Back
Top Bottom