Kumbe Diamond ana nyodo kiasi hiki


Duuh kwel pepo la mr nice la mnyemelea kaka domo
 
1.Mi nna billion moja bank.
2.mbeya hakuna hotel ya hadhi yangu.
3.sifanyi shoo chini ya mill kumi.
4.mimi ni sukari ya warembo.teh
5.nina nyumba nne za bei kali niko namalizia swiming pool.sjui imeshaisha????
6.niko tayari kumsaidia kiba internationally.

Duh,kweli bongo kuna wasanii.
 

Taratiiiiiibu punguza munkar.pamoja sasa eeh?haaya.


Nani anamshusha diamondi ili kumpandisha kiba??,kivipi??.naomba ufafanuzi mkuu.
 
Diamond ni typical Muha na Waha ndivyo walivyo. Wale ni sawa na mbilikimo au watu wafupi, wanapenda sana mabishano hata kama hawako sahihi na nyodo kwao ni haki yao. Kule Kigoma Muha akibahatika kuuza viazi vitamu, mafuta ya mawese, dagaa lazima atawatambia wenzake huku akijuwa kuna pia kuuza genge kesho. Nili enjoy vituko vyao wakati naishi Ujiji na Kasulu for two years.
 
mengi umeongea ni ok lakini sikubaliani na wewe issue ya kupiga show kwa pesa ambayo hamjakubaliana, uamuz wa kupiga show kwa ela gani its purely business si issue ya kufurahisha watu tu...... kama ktk mazungumzo hamjafikia dau flan its ok nothing personal hakuna haja ya kupeana presha za kusingizia mashabiki au kusema ana dharau!!!
 
Jamaaa Mbishi:...xaxa wewe unawaxema wakule wote...cz wakigoma niwengi wako kwenye fan hiyo
 
Mm nahisi mtoa mada ni mvivu wa kufikiri na nina wasi wasi na maarifa yake aliyoyapata darasani.
 

Wangemsaidia kupanda chati kipindi hicho alipofanya kolabo na R Kelly. Fulsa alikuwanazo lkn akili yake ilikuwa imedorora. Sio kama mwenzake akapata fulsa katumia effectively na kachukua hadi tuzo. Vp Alikiba kashachukua tuzo za kimataifa kama mwenzake?
 
Hata mimi hakuna hotel ya hadhi yangu. Ni swala la standard tu, kila mtu ameset standard yake ya maisha. Kama hakuna 5 star hotel utamlazimisha alale kwenye lodge zenye mbu? ....
 
Makavu mpeni lakini mtoto anajituma. Usipojisifia binadamu wabishi kukusifia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…