Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana mtu hutakiwi poteza muda somea phd maana kuna wajinga watapewa bila tatizo
Kwani mtu si anasoma ili aelimike yeye mwenyewe..mwingine akipewa horonary PhD shida iko wapi?.Ndo maana mtu hutakiwi poteza muda somea phd maana kuna wajinga watapewa bila tatizo
Mimi ningeondoka na kumuachia joho lake.Nimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD).
Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.
Sidhani kama ni kweli! haya ni maoni ya msomi mmoja, ingawa ni tofauti kidogoNimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD).
Embu mwenye uelewa atupe tuition kido
Yes anaweza kutunukiwa kama alifanya any outstanding (key word)function/achievement in society's wellbeing!Hivi na musukuma alitunukiwa PhD ya heshima
Sa100 ni dokta?Kwahiyo mkuu unataka kusema Dkt. Tulia na Dkt. Samia kielimu sasa wote wapo sawa? Hata wakiwekwa sehemu moja wajadili mambo watakuwa sawa?
Sa100 ni dokta?
Bila kumsahau Dr Kasheku Msukuma PhD yenye haina mbambambaKwahiyo mkuu unataka kusema Dkt. Tulia na Dkt. Samia kielimu sasa wote wapo sawa? Hata wakiwekwa sehemu moja wajadili mambo watakuwa sawa?
Hayo ni kwa mujibu wa hao vilaza waliogawiwa hizo phd za heshima za uchumi huku watu wakiangaika bila umeme, maji, mbolea, chakula na tozo kwenye kila kitu.Nimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD).
Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.
Dkt Joseph Kasheku MsukumaKwahiyo mkuu unataka kusema Dkt. Tulia na Dkt. Samia kielimu sasa wote wapo sawa? Hata wakiwekwa sehemu moja wajadili mambo watakuwa sawa?
Dunia ya sassa sio ya mijadala kikubwa umeleta impact gani.......Kwahiyo mkuu unataka kusema Dkt. Tulia na Dkt. Samia kielimu sasa wote wapo sawa? Hata wakiwekwa sehemu moja wajadili mambo watakuwa sawa?
Panua Hole DaimaKirefu cha PhD nini
Hapo anawashindanisha Bashiru na SamiaNimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD).
Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.