MUBENDE
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 1,111
- 1,879
Mimi nafikiri kikubwa haibi kwa mtu na anapata iliyo haki yake mpaka anatosheka basi tumshukuru Mungu ndi fursa aliyo jaaliwa na Mungu.Mbona nasikiaga hata hiyo biashara sio ya kwake ye ni mpiga debe tu yaani kikipatikana chochote kitu ndo anagaiwa na mwenye magari yake.
#msinisutejamani