The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe umejuaje kua una akili? Umetumia criteria gani kujua kua wewe una akili?Huna akili ata moja wewe
Huko kwenye mabara yote na wao Wana mkataba wao wa kimangungo Kama huu wa kwetu?Mwanzoni zilipotoka habari za kuwepo mkataba wa bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP world nilifikiri hii ni kampuni ya kijanja janja inayoanza shughuli zake nchini.Baadae ilipokuja hoja ya kuwa ni kampuni ya waarabu nikajua athari ya elimu zitolewazo Tanzania.
Nilipojaribu kuangalia historia na utendaji kazi wa kampuni hiyo nikaono kumbe ni kampuni kubwa sana,iliyoanza kazi miaka kadhaa nyuma na kwamba inaendesha shughuli za bandari katika mabara yote na katika nchi zilizoendelea kama Marekani na ndio wapakiaji wakubwa wa ngano za Ukraine pia zikaifikia dunia nzima kiurahisi.
Ramani na kupanuka kwa shughuli za DP world kila siku zinaongezeka mpaka kufikia nchi hata zisizokuwa na bahari.
Zaidi ni kuwa makao makuu yake yako kwenye nchi ya kiarabu lakini viongozi wake na teknolojia wanazotumia havina sura ya uarabu jambo ambalo ni hoja kubwa ya wapinzani wake.
Kama kuna watu wanaopinga mkataba huu kwa maoni yangu wabadili hoja zao zielekee kwenye marekebisho penye mapungu na si kupinga au kutumia kipengele cha uarabu.Wakifanya hivyo watadharaulika na hawataaminika katika misimamo yao mingine ya kisiasa.Kwa upande mwengine wakisikilizwa na kuachwa mkataba huu basi watazifanya bandari za Tanzania ziwe kama zilivyokuwa karne iliyopita.Zitakuwa kama bandari za kusubiria samaki na majahazi,Meli za mizigo zitaelekea nchi nyengine.
Ww mama hata akili za kuvukia barabara umeishiwa,nani amekwambia ana tatizo na waarabu waislamu.Sema kweli, tatizo wamiliki wake ni Waarabu Waislam .
ndoomaana tunasema ninyi mna udini ndoo unawasumbua. ila kwataarifa yenu hao waraabu wanakuja kama hamtaki kufeniAlafu waislam mnazngua hapa watu hawalalamiki kuhusu kanzu kujaa bandarini hiyo sio ishu ni vipengele vya mkataba je vina maslai na Tanganyika, wewe bibi acha maswala ya kikuda.
.
wakati wakina mzee johnh, peter, na matayo wakipelekwa shule nyie mlikimbilia madrasa sasa wanaanza kugawana uongozi mnaropoka ujinga nyie subiri ahera mtapewa uongozi msijali hakuna anae waonea
Wewe ni muislamu?Sema kweli, tatizo wamiliki wake ni Waarabu Waislam .
AlhamduliLlah.
Naam, hayo ni yangu na yanajionesha shahiri shahiri. Hujaona Mapadri na Maaskofu walivyokomaa?
Mkataba upi unauongelea "huu wa Tanzania"? Ambao unataka kulinganisha nayo ni ipi?
Hujawaona wakuu wa kanisa kwenye mkutano wa siasa leo? Au kwa "mdini" unamaanisha nini?
Hatuipingi kampuni ya DP world lakini tunapinga aina ya mkataba tulioingia nao wa staili ya Sultan Mangungo!! Tunataka mkataba urekabishwe kwa kuzingatia maslahi ya Tanzania. Mkataba gani usiotaja ukomo? Unaozuia kuuvunja hata kama ukiukwaji mkubwa ukitokea? Hautaji sisi tutapata nini? Hautaji mwekezaji atawekeza kiasi gani?Mwanzoni zilipotoka habari za kuwepo mkataba wa bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP world nilifikiri hii ni kampuni ya kijanja janja inayoanza shughuli zake nchini.Baadae ilipokuja hoja ya kuwa ni kampuni ya waarabu nikajua athari ya elimu zitolewazo Tanzania.
Nilipojaribu kuangalia historia na utendaji kazi wa kampuni hiyo nikaono kumbe ni kampuni kubwa sana,iliyoanza kazi miaka kadhaa nyuma na kwamba inaendesha shughuli za bandari katika mabara yote na katika nchi zilizoendelea kama Marekani na ndio wapakiaji wakubwa wa ngano za Ukraine pia zikaifikia dunia nzima kiurahisi.
Ramani na kupanuka kwa shughuli za DP world kila siku zinaongezeka mpaka kufikia nchi hata zisizokuwa na bahari.
Zaidi ni kuwa makao makuu yake yako kwenye nchi ya kiarabu lakini viongozi wake na teknolojia wanazotumia havina sura ya uarabu jambo ambalo ni hoja kubwa ya wapinzani wake.
Kama kuna watu wanaopinga mkataba huu kwa maoni yangu wabadili hoja zao zielekee kwenye marekebisho penye mapungu na si kupinga au kutumia kipengele cha uarabu.Wakifanya hivyo watadharaulika na hawataaminika katika misimamo yao mingine ya kisiasa.Kwa upande mwengine wakisikilizwa na kuachwa mkataba huu basi watazifanya bandari za Tanzania ziwe kama zilivyokuwa karne iliyopita.Zitakuwa kama bandari za kusubiria samaki na majahazi,Meli za mizigo zitaelekea nchi nyengine.
Kwani watanzania wanakataa DPW? Wanakataa mkataba uliojaa ubayaMwanzoni zilipotoka habari za kuwepo mkataba wa bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP world nilifikiri hii ni kampuni ya kijanja janja inayoanza shughuli zake nchini.Baadae ilipokuja hoja ya kuwa ni kampuni ya waarabu nikajua athari ya elimu zitolewazo Tanzania.
Nilipojaribu kuangalia historia na utendaji kazi wa kampuni hiyo nikaono kumbe ni kampuni kubwa sana,iliyoanza kazi miaka kadhaa nyuma na kwamba inaendesha shughuli za bandari katika mabara yote na katika nchi zilizoendelea kama Marekani na ndio wapakiaji wakubwa wa ngano za Ukraine pia zikaifikia dunia nzima kiurahisi.
Ramani na kupanuka kwa shughuli za DP world kila siku zinaongezeka mpaka kufikia nchi hata zisizokuwa na bahari.
Zaidi ni kuwa makao makuu yake yako kwenye nchi ya kiarabu lakini viongozi wake na teknolojia wanazotumia havina sura ya uarabu jambo ambalo ni hoja kubwa ya wapinzani wake.
Kama kuna watu wanaopinga mkataba huu kwa maoni yangu wabadili hoja zao zielekee kwenye marekebisho penye mapungu na si kupinga au kutumia kipengele cha uarabu.Wakifanya hivyo watadharaulika na hawataaminika katika misimamo yao mingine ya kisiasa.Kwa upande mwengine wakisikilizwa na kuachwa mkataba huu basi watazifanya bandari za Tanzania ziwe kama zilivyokuwa karne iliyopita.Zitakuwa kama bandari za kusubiria samaki na majahazi,Meli za mizigo zitaelekea nchi nyengine.
kanisa gani hilo?Kanisani leo tumeambiwa kwamba wakija hao waalabu wakristo tutakosa misaada ya kimataifa!
ndio maana mwabukusi amewaita ninyi wapumbavu. ni kwasababu kwa kelele zoote hizi, bado tu mnaonyesha hamna akili. HAKUNA ANAYEPINGA DP WORLD kama wakija na mkataba mzuri, kinachopingwa ni vipengele kwenye mkataba, hapingwi mwarabu au mwislam au yeyote, unapingwa mkataba. DP WORLD wajaribu kujifanay wajinga siku ipite, waje na terms kwamba tunabadilisha terms za mkataba, waone tutakavyowafurahia. tunawahitaji ila sio kwa vipengele vya mkataba kama ule. umeelewa?Mwanzoni zilipotoka habari za kuwepo mkataba wa bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP world nilifikiri hii ni kampuni ya kijanja janja inayoanza shughuli zake nchini.Baadae ilipokuja hoja ya kuwa ni kampuni ya waarabu nikajua athari ya elimu zitolewazo Tanzania.
Nilipojaribu kuangalia historia na utendaji kazi wa kampuni hiyo nikaono kumbe ni kampuni kubwa sana,iliyoanza kazi miaka kadhaa nyuma na kwamba inaendesha shughuli za bandari katika mabara yote na katika nchi zilizoendelea kama Marekani na ndio wapakiaji wakubwa wa ngano za Ukraine pia zikaifikia dunia nzima kiurahisi.
Ramani na kupanuka kwa shughuli za DP world kila siku zinaongezeka mpaka kufikia nchi hata zisizokuwa na bahari.
Zaidi ni kuwa makao makuu yake yako kwenye nchi ya kiarabu lakini viongozi wake na teknolojia wanazotumia havina sura ya uarabu jambo ambalo ni hoja kubwa ya wapinzani wake.
Kama kuna watu wanaopinga mkataba huu kwa maoni yangu wabadili hoja zao zielekee kwenye marekebisho penye mapungu na si kupinga au kutumia kipengele cha uarabu.Wakifanya hivyo watadharaulika na hawataaminika katika misimamo yao mingine ya kisiasa.Kwa upande mwengine wakisikilizwa na kuachwa mkataba huu basi watazifanya bandari za Tanzania ziwe kama zilivyokuwa karne iliyopita.Zitakuwa kama bandari za kusubiria samaki na majahazi,Meli za mizigo zitaelekea nchi nyengine.
hawa ndio wale wanatembea na vijiko na ndizi mfukoni kwa ajili ya ubwabwa. mbuzi kabisa.Huna akili ata moja wewe