Kumbe DP World wako mabara yote; Tanzania kuna nini?

Pitia mkataba wetu na dpw, ufananishe na mkataba wa UK na dpw.
Hakuna anayempinga muarabu katika bandari au mzungu katika madini, ila mikataba ya kinyonyaji na kandamizi kwa utawala na ustawi wa nchi.
 
Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
 
Tatizo si ufanyaji kazi wa hiyo kampuni, tatizo ni makubaliano yaliyomo kwenye huo mkataba.
Siamini kama mikataba yote iliyongiwa kati ya hiyo kampni na hizo nchi inafanana mkataba wa hapa TZ
Sahihi..
MIKATABA..
MKATABA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…