Kumbe draft la app ya dalmax ni la kitula

Kumbe draft la app ya dalmax ni la kitula

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Nimeingia playok, nikaset ugumu wa dalmax 100% Tanzanian rules, nikawa na smartphone mbili, nlikuwa nawaunga ninaocheza nao Playok na dalmax, nilikutana na mtu nkapigwa suti goli 3-0 mfululizo, na mtu mwenye point 1300 tu, nilichukia kweli
 
Nimeingia playok, nikaset ugumu wa dalmax 100% Tanzanian rules, nikawa na smartphone mbili, nlikuwa nawaunga ninaocheza nao Playok na dalmax, nilikutana na mtu nkapigwa suti goli 3-0 mfululizo, na mtu mwenye point 1300 tu, nilichukia kweli
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom