Kumbe Fatma Karume mkali hivi! Amchenjia mtangazaji wa Clouds FM live redioni

Kumbe Fatma Karume mkali hivi! Amchenjia mtangazaji wa Clouds FM live redioni

Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufaham na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?

Sky Eclat
Rejea Mkasi na Salama, Shangazi aliongea vizuri tu kuhusu elimu yake. Hiko Kinge anaongea kama mzaliwa wa huko.
 
Hawa Watangazaji wa hiki pindi cha michezo cha Clounds leo wameukwaa mchongoma. Hawana hata uwezo wa kuchambua sheria wao wanakurupuka na maswali ya kijinga, hatimaye wamepelekwa shule. Aunt yupo calm anatoe elimu kwa wajinga.
Amenyooshwa
 
Ataacha kuwa na hasira mtu kafika menopause kazeeka hana mtoto wala ndoa...? Anaishi ktk stress sana yule mwanamke.... Prisca kamuuliza BILASHAKA utakua umepata hati ya... Neno bilashaka linakutaka unayeulizwa ujibu Ndiyo au Hapana...
Kaolewa na ana watoto mkuu.
Sema huwa ana hasira hasira sana hata kwa vitu vya kuclarify tu.
 
Wakili mzoefu, Fatma Karume almaarufu shangazi leo amemtuhumu mtangazaji wa kipindi cha michezo cha Clouds FM, Prisca Kishamba kuwa ni muongo na yeye hamna kitu hapendi kama watu wanaofanya 'Assumption'.

Fatma alitengeneza swali na kumtaka mtangazaji amuulize upya kama alivyosema baada ya mtangazaji kulikosea, jambo ambalo mtangazaji alifanya. Mahojiano yao yalihusu sakata la Fei Toto kushindwa rufaa yake ambapo alikuwa anasimamiwa na Fatma Karume kama mwanasheria wake.

Video niambatanisha

View attachment 2535339
hajamtuhumu bali kamwambia kuwa ni muongo,amewafundisha waandishi wa habari wajifunze kuuliza maswali
 
Waandishi na wana habar wengi wa bongo uwezo wao kiakili ni mdogo sana ..upo chini mnooooo..mi siwezagi kusikiliza vipindi vya redioni..yan makosa ya kiufundi na kiutalaam kwenye chambuzi zao ni mengi mnooo mpaka unaona aibu kwa niaba yan..
Halaf sasa wanapenda sana kujitia ujuaji huku hawana utayar ws kujifunza...ndio maana wanaishia kufakamia mambo nje ya uwezo wao.

Very poor
 
Ataacha kuwa na hasira mtu kafika menopause kazeeka hana mtoto wala ndoa...? Anaishi ktk stress sana yule mwanamke.... Prisca kamuuliza BILASHAKA utakua umepata hati ya... Neno bilashaka linakutaka unayeulizwa ujibu Ndiyo au Hapana...
Neno bila shaka ni assuption , ndicho alichokikataa fatma.
 
Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufaham na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?

Sky Eclat
Unaongea kitu usichokijua. Unaijua accent ya Newcastle wewe? Unaijua Geordie accent? Huijui ishia kusema ana lafudhi nzuri ila hana Geordie,Scouser wala Posh accent.
 
Mimi Shangazi ananishangaza kwenye kiingereza tu. Ndio unaweza kufaham na kuongea kiingereza kwa ufasaha lakini Aunty licha ya kuongea kingereza kwa ufasaha lakini anakiongea kabisa na lafudhi ya uingereza tena kama ile ya Newcastle. Ni vigumu kwa mtu siyo Muingereza kuongea kiingereza na lafudhi ya uingereza. Hivi kawezaje? Aliishi na waingereza tangu utotoni?

Sky Eclat
Shangazi yupo vizuri hata lafudhi ya kiswahili pia , nadhani kwa sababu ya kuishi zanzibar.
She is smart too , huwezinkumwekea maneno mdomoni halafu ukategemea aendelee kuongea
 
Wangapi wamezaliwa Uingereza na wazazi wa mataifa mengine lakini kiingereza chao licha ya kuongea kifasaha hawana lafudhi ya Uingereza? Ni wachache sana. Wataongea kiingereza kizuri tu lakini ile lafudhi. Huyu Riki Sunak ni tofauti na wahindi wengine waliozaliwa Uingereza, kiingereza chake ni lafudhi ya Uingereza lakini mke wake amezaliwa na kukulia Uingereza tofauti. Fatuma aliwezaje tena akizungumza ni kile ka ndani ndani lafudhi ya wa Newcastle
Changu cha Manchester United [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji137] Watanganyika [emoji1241] mna mambo mengi Sana [emoji23][emoji23] stress free zone! Lengo la lugha ni mawasiliano tu lafudhi ni kachumbali tu kwenye pilau,kuna vitoto vya kihindi viliniambi mimi siyo mtanzania,nilivyotaka kujua kwanini, siyo, wakasema lafudhi yangu ni Kama ya huko, Wakati never been there before [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Menopause inamsumbua na kuona watoto wa marais wenzake wanakula bata, yeye anazeeka anazunguka juani tu...
 
Hawa Watangazaji wa oya oya wakati mwingine ujiaibisha sana.

Na ndiyo wamejaa kwenye baadhi ya vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom