econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ataacha kuwa na hasira mtu kafika menopause kazeeka hana mtoto wala ndoa...? Anaishi ktk stress sana yule mwanamke.... Prisca kamuuliza BILASHAKA utakua umepata hati ya... Neno bilashaka linakutaka unayeulizwa ujibu Ndiyo au Hapana...
Mbona kajibu vizuri tu. Hayo mengine uliyoongea sio heshima.