Kumbe Fid Q ana watoto watatu wa mama tofauti??


We utakuwa msukuma
 
Dah, na mistari na punchline kali kama zile kumbe nae analelewa kama wanavyolelewa watoto wake?? Dah!
Umeingia King bila aibu.
Inasikitisha.
So nawe ukikaa na wanao kitaa utasema hivyo,ukiulizwa ushahidi utasema nimepata info JF!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…