Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Kumbe GENTAMYCINE naye ni mzee wa "Hit & Run".

Naona Wiki hii Vijana wa JamiiForums mmeamka na GENTAMYCINE kwani kwani ndani ya Siku Tatu ( 3 ) Wewe ni Mtu wa pili sasa kunianzishia Uzi. Hata hivyo nichukue tu nafasi hii kuwashukuruni kwani kwa kuzidi Kwenu kumfuatilia GENTAMYCINE kwa kila anachokifanya humu hasa ' Kimaandiko ' na kuja ' Kumjadili ' ni ' Kiashirio ' tosha kwamba hii ' Brand ID ' yangu ni Habari ya Mjini na ama hakika naitendea vyema mno ' Signature ' yangu isemayo Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer. Yaani kila Siku mnavyonijadili humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe juu na juu zaidi kiasi kwamba sishangai kila siku napokea tu ' Notifications ' za New Followers na kwa Member wa JamiiForums ambaye nimejiunga tu mwaka 2013 lakini hadi sasa nina ' Followers ' 40 si kitu cha mchezo.

Ahsante sana Mwenyezi Mungu / Allah kwa ' Kunibariki ' na ' Vipawa ' vingi na naomba uzidi ' Kunibariki ' ili niwe juu juu zaidi.

Amen / Inshaallah.
Mkuu,

Ieleweke kwamba mimi ndio Msemaji wako hapa JF in case unapata ajali au ukaishiwa bundle...nikikuanzishia uzi maana yake I'm on Duty. Pia wewe bosi wangu hunitendea haki, hivi unaposifia Signature yako; mbona mm Signature yangu ya mwezi jana (MV bukoba; mwana CCM aliyeshauri watoboe hatimae ikazama...hizo ndo akili za CCM) mnona hukunipongeza/kunisifia? Ni kweli you have Brand ID, chunga tu mods wasifanye yao maana wakicheleweshewa mishahara ndo huwa na hasira, hawaangalii wewe ni nani, ni mwendo wa Ban au kumger IDs.
 
Mkuu,

Ieleweke kwamba mimi ndio Msemaji wako hapa JF in case unapata ajali au ukaishiwa bundle...nikikuanzishia uzi maana yake I'm on Duty. Pia wewe bosi wangu hunitendea haki, hivi unaposifia Signature yako; mbona mm Signature yangu ya mwezi jana (MV bukoba; mwana CCM aliyeshauri watoboe hatimae ikazama...hizo ndo akili za CCM) mnona hukunipongeza/kunisifia? Ni kweli you have Brand ID, chunga tu mods wasifanye yao maana wakicheleweshewa mishahara ndo huwa na hasira, hawaangalii wewe ni nani, ni mwendo wa Ban au kumger IDs.
Haya mapenzi ya jinsia moja ni hatari mno
 
wewe mbona baba yako hakuwa punguani lakini leo ni single mother, baba mtoto akija hata kusalimia mtoto anaishia getini kwasababu ndani una libwana lingine..sasa wewe upo kundi gani; punguani au mwenye akili kushinda baba yako aliyekuzaa ukawa mtoto wa kike?
Mmmh ....
 
Back
Top Bottom