[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona lakiniiiii
HahahaShikamoo dada akee shunie
Jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemzaa shunie peke akeeHahaha
Shkamoo mwenyewe, muone kwanza! Nimezaa dunia?!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23] nimeona aisee
HahahahaJamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemzaa shunie peke akee
Mkuu,Naona Wiki hii Vijana wa JamiiForums mmeamka na GENTAMYCINE kwani kwani ndani ya Siku Tatu ( 3 ) Wewe ni Mtu wa pili sasa kunianzishia Uzi. Hata hivyo nichukue tu nafasi hii kuwashukuruni kwani kwa kuzidi Kwenu kumfuatilia GENTAMYCINE kwa kila anachokifanya humu hasa ' Kimaandiko ' na kuja ' Kumjadili ' ni ' Kiashirio ' tosha kwamba hii ' Brand ID ' yangu ni Habari ya Mjini na ama hakika naitendea vyema mno ' Signature ' yangu isemayo Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer. Yaani kila Siku mnavyonijadili humu ndiyo mnazidi kunifanya niwe juu na juu zaidi kiasi kwamba sishangai kila siku napokea tu ' Notifications ' za New Followers na kwa Member wa JamiiForums ambaye nimejiunga tu mwaka 2013 lakini hadi sasa nina ' Followers ' 40 si kitu cha mchezo.
Ahsante sana Mwenyezi Mungu / Allah kwa ' Kunibariki ' na ' Vipawa ' vingi na naomba uzidi ' Kunibariki ' ili niwe juu juu zaidi.
Amen / Inshaallah.
We live once. If I keep trying ntamiss mambo mengine.I dont think umejarib. Keep doing it , utafikia lengo.
Haya mapenzi ya jinsia moja ni hatari mnoMkuu,
Ieleweke kwamba mimi ndio Msemaji wako hapa JF in case unapata ajali au ukaishiwa bundle...nikikuanzishia uzi maana yake I'm on Duty. Pia wewe bosi wangu hunitendea haki, hivi unaposifia Signature yako; mbona mm Signature yangu ya mwezi jana (MV bukoba; mwana CCM aliyeshauri watoboe hatimae ikazama...hizo ndo akili za CCM) mnona hukunipongeza/kunisifia? Ni kweli you have Brand ID, chunga tu mods wasifanye yao maana wakicheleweshewa mishahara ndo huwa na hasira, hawaangalii wewe ni nani, ni mwendo wa Ban au kumger IDs.
Mmmh ....wewe mbona baba yako hakuwa punguani lakini leo ni single mother, baba mtoto akija hata kusalimia mtoto anaishia getini kwasababu ndani una libwana lingine..sasa wewe upo kundi gani; punguani au mwenye akili kushinda baba yako aliyekuzaa ukawa mtoto wa kike?
Nisubiri tuondoke wote tu [emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Fanya haraka kabla hajaja[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nisubiri tuondoke wote tu [emoji23]
Ok nimeilewea fasihi yako, ila unanichokoza. Hebu rudia tena...uliamshe dude vizuri. Utaichukia JF.Haya mapenzi ya jinsia moja ni hatari mno
yeahMmmh ....
Hahahaha
Sawa mwanangu Shunie
Nisubiri tuondoke wote tu [emoji23]
Fanya haraka kabla hajaja[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mama mkwe tulia basi kidogoKwani hapa ni wapi sababu we ****** unaona kila mtu ****** mxxiuueew
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Fanya haraka kabla hajaja[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kutapana ndiyo nini?mapenzi ya rohoni, upendo usio kifani, undugu wa damu, marafiki wa kweli...kwakweli ni hatari maana hamuwezi kutapana kwenye shida au raha.
Kutapana ndiyo nini?
Endelea tu kupendana na jamaa yako