Kumbe hata kwetu haya yapo?

Kumbe hata kwetu haya yapo?

Huyu ni dada yake na Richard mshindi wa big brother, hapo ilikuwa ni siku ya harusi yake, na huyo anemlisha (wanaelishana) keki ni binti yake wa kwanza. Ukiangalia vizuri hapo pembeni utaona kuna mtu kavaa suti (ndio mume), na hapo ni Marekani.

Kwa nini wanalishana kwa staili hiyo??
 
Hivyo ni vijimambo. tanzania sasa inaelekea kuzimu. Sasa ni wakati wa Sodoma na Gomora. inabidi yafanyike maombi na kila mtu kwa imani yake.
 
Back
Top Bottom