Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Apr 23, 2022 #21 Haya ni mambo mazito sana.
ielewemitaa JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 10,764 Reaction score 9,477 Apr 23, 2022 #22 Suzy Elias said: Sikufahamu kwalo! "...huyu Zitto hapaswi kabisa kucheka kilema cha mtu ukizingatia hata mama yake ni kilema tena cha kuchovya!" Mdau. Ndugu zangu tuwiwe na kiasi huku tukikumbuka hujafa hujaumbika. Click to expand... Vijana wa Magufuli kazini
Suzy Elias said: Sikufahamu kwalo! "...huyu Zitto hapaswi kabisa kucheka kilema cha mtu ukizingatia hata mama yake ni kilema tena cha kuchovya!" Mdau. Ndugu zangu tuwiwe na kiasi huku tukikumbuka hujafa hujaumbika. Click to expand... Vijana wa Magufuli kazini
ielewemitaa JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 10,764 Reaction score 9,477 Apr 23, 2022 #23 umukeke said: Wengine wanadai yeye mwenyewe ndo alimtoa kafara kwa sababu ya siasa ndo maana hajachimba kaburi lake pembeni yake Click to expand... Achana na hekaya za vijiweni
umukeke said: Wengine wanadai yeye mwenyewe ndo alimtoa kafara kwa sababu ya siasa ndo maana hajachimba kaburi lake pembeni yake Click to expand... Achana na hekaya za vijiweni
kookaburra JF-Expert Member Joined Jan 31, 2021 Posts 563 Reaction score 1,416 Apr 23, 2022 #24 Paulsylvester said: Tumefika kote huku kwa sababu ya Zitto? Tufanye yaishe, tumwacheni zitto na ushamba wake Click to expand... uko sahihi sana.
Paulsylvester said: Tumefika kote huku kwa sababu ya Zitto? Tufanye yaishe, tumwacheni zitto na ushamba wake Click to expand... uko sahihi sana.
K KISIWAGA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 8,022 Reaction score 16,563 Apr 23, 2022 #25 mama yake Zitto alikuwa mchawi nguri na hata huo uchiba wake ulisababishwa na kuwawangia watu