Kumbe hatusajili kwa sasa kwakuwa Skauti wao Mkuu Simba SC anasajili Vyuma vya maana Kimya Kimya tofauti na Misimu iliyopita?

Mjini kwetu babu njaa tuu bana

Msalimie bibi mwambie atutumie japo mayai
Poleni sana, ndiyo hali ya maisha ilivyo kuwa na ups and downs

Kwahiyo nimwambie Wakala aweke kwenye akaunti ile ile sio? Najua tukituma mayai Kwa njia hiyo itasaidia kuyafikisha salama bila kuvunjika njiani πŸ€—
 
Kwa usajili huo msije kugombania kutokushuka daraja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…