Kaka Pekee
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 336
- 564
- Thread starter
-
- #21
Kumradhi Bado nimeamka na hangover Ni Zambia Airport China to take over Zambian international Airport for debt repayment default; neocolonialism?Zimbabwe kuna bandari? Katika kingo za mto Zambezi au? Kweli tuna safari ndefu
Duh...!!!Hao hao ndiyo walituletea ukimwi.
Gazeti la picha la watu wa China. Unatumiwa bure mpaka kwenye posta. Sisi vijijini tulikuwa tunayabandika kwenye kuta kuficha udongo. Halafu tulikuwa tunafunikia madaftari.Wanajua publicity hukumbuki yale magazeti ya watu wa China?
Ha ha ha ha! Enzi za enziGazeti la picha la watu wa China. Unatumiwa bure mpaka kwenye posta. Sisi vijijini tulikuwa tunayabandika kwenye kuta kuficha udongo. Halafu tulikuwa tunafunikia madaftari.
Kumbe hawa tunaowadharau na kuwakumbatia Wachina ndio hutuchangia Asilimia 80% katika budget yetu ya Afya. Kutoa Dawa za ARV’s na Support ya kupima VVU / UKIMWI.View attachment 952052
Kweli Watanzania wengi bado sana!!Mchina Anasaidia Ujenzi Wa Miundombinu Kwa Gharama Nafuu
Bajeti ya dawa hizo na vipimo vyake inatoka marekani. Hadi register zake wanafadhili wao. Na wanafuatilia mpaka huko.Mkuu dawa wananchi tunapewa bure " lakini serikali inanunua " Uko kwenye dunia ya ngapi chief"!!?.... hayo madawa ni biashara kubwa sana ya USA ambayo ina changia kulinyanyua taifa lao kiuchumi . Na ikitokea ukajifanya wewe raisi unapinga hautaki kununua " Utaundiwa zengwe mpaka utolewe madarakani".....
Usione watu (ma-raisi ) wapo madarakani basi ukadhani wana jiendeshea tu nchi wanavyotaka kuna power ambazo zina simamia tawala zao nakuwataka wafuate vile wanavyotaka wao .....
Karibu
Endelea kujidhulumu ufahamu mkuu".... jaribu jufuatilia kilichomtoa zouma madarakani ninini !!? Kisha urudi hapa"... USA wakupe madawa bure wamerogwa au ' hiyo mitumba tu wana tuuzia ", na walipoona kwamba kuna tishio la nchi za east africa kutaka kuacha kuinunua wakatoa onyo kubwa na tishio la vikwazo vya uchumi juuBajeti ya dawa hizo na vipimo vyake inatoka marekani. Hadi register zake wanafadhili wao. Na wanafuatilia mpaka huko.
Ukienda zahanati au hospitali za serikali unakuta ndo zipo nyingi kuliko zingine. Serikali yetu haina ubavu wa kununua hizo zisiishe.
Kama wewe ni Baba na unawatoto na akili zako ni kama hizi, POLE.Mchina Anasaidia Ujenzi Wa Miundombinu Kwa Gharama Nafuu
Neo Colonialism swala in kwamba wameshindwa kurudisha hela sasa unategemea wachina wafanye mini wapo sahihi kwenye hiliKuna moja ya nchi jirani ukanda huu wamechukua Uwanja wa Ndege Zambia China to take over Zambian international Airport for debt repayment default; neocolonialism?