Kumbe haya mambo yapo kila Sehemu

Kumbe haya mambo yapo kila Sehemu

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
1486668244903.jpg
 
Haaa!!
Mi nikajua hiyo ni shida ya wadada wa kibongo tu, kumbe hata Brazil!!
Aah! Ila wanawake wa Brazil wengi ni gold diggers wana fahamika except ni wazuri sanaa yani.
 
Haaa!!
Mi nikajua hiyo ni shida ya wadada wa kibongo tu, kumbe hata Brazil!!
Aah! Ila wanawake wa Brazil wengi ni gold diggers wana fahamika except ni wazuri sanaa yani.
bora kama jamaa ameshtuka mapema hawachelewi kukuua kiwango halafu ukirudi kijiweni waoo ndukii
 
Hahaha
Na ndiko jamaa aliko tokea
Kule kwenyw mabanda mabanda

Inaonekana yeye alikuwa kama Mavugo hivi halafu ana mtaka wema(iweke ki brazil brazil sasa)
So ndio maana alikuwa ana kaushiwa
Yap sio mchezo levels lazima ziwepo sio upo porini unataka mtoto mkali si unaona kafika kwa malkia simu kibao?
 
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hawa mambo yapo duniani kote muhimu ujue class yako kama tmk uswazi usijifanye msosi draft masaki ubishoo huo kitambo ukiona upo na manzi kisu basi benz linakuja unajificha nyuma ya demu huku unanong'ona maza maza maza (bora hata lafudhi angepatia mother )mara demu anamuona mzungu anaendesha anamuuliza maza wako mzungu?
 
Back
Top Bottom