Mkuu kila mtu anastyle ya maisha yake na ndoto zake ni sawa umuambie Ronaldo asinunue audi48 badala yake iende kumsaidia wagonjwa huko ureno kuna kipindi utasaidia watu kuna kipindi utajijenga wewe binafsi Mbona diamond anasaidia Sana tu watuhiyo hela ya PJ bora angeshea na wananchi hata hospital ama shule ya sanaa.
RR lenyewe halijabamba wala nini sababu watu wengi sisi ni masikini tunaona kama anatuzingua.
kwa migari ambayo aliishakuwa nayo wala halikuwa na haja.
Aed ni hela ya nchi gani kwanzaKwa statement ya Mond TRA walikula 700 millions, na kuna uwezekano pia ikawa hivyo. Meneja wake kasema wamechukua ndege yenye thamani kama ya 13 Billion za kitanzania, acha aishi ndoto zake
United Arab Emirates DirhamAed ni hela ya nchi gani kwanza
Babako anayo?Ya domo ni mtumba
#haterkazini
Babako anayo?
Hospitali na Shule zinajengwa na serikalihiyo hela ya PJ bora angeshea na wananchi hata hospital ama shule ya sanaa.
RR lenyewe halijabamba wala nini sababu watu wengi sisi ni masikini tunaona kama anatuzingua.
kwa migari ambayo aliishakuwa nayo wala halikuwa na haja.
Safi sana, watu wanapenda kupangia matumizi ya watu wakati wao wenyewe hawajawahi hata kuchangia mfuko mmoja wa simenti kwenye ujenzi wa hizo shule!Hospitali na Shule zinajengwa na serikali
Ya WaarabuAed ni hela ya nchi gani kwanza
Hiyo ndio tabia halisi za watanzania tuna tabia fulani za umasikiniSafi sana, watu wanapenda kupangia matumizi ya watu wakati wao wenyewe hawajawahi hata kuchangia mfuko mmoja wa simenti kwenye ujenzi wa hizo shule!
Msidanganyike hizo ni promo zao kujikweza kuwa wana hela ili nyie mafala muwaogope wakina Salam!!duh! Kuna watu Wana hela ile mbaya maana hapo ni kama 1.4B kwa hela za kitanzania bado hapo kodi ya TRA kwa namna hii ninaweza kuamini Diamond anaweza kununua ndege kama alivyosema kuwa mwaka Huu ataleta private jet yake
Private jet vile vidogo kabisa bei ya chini kabisa ni dola million 2 ambayo ni sawa na billion 4.6.Kama kanunua gari la 1.4B anashindwa vipi kununua private jet?
Hata hiyo RR watu wengi ukiwemo mimi kuwa hawezi kuinunua lakini the end of the day kainunua ni suala la muda tuPrivate jet vile vidogo kabisa bei ya chini kabisa ni dola million 2 ambayo ni sawa na billion 4.6.
Lakini hivi ni vile vya single engine kwa mbele na vinapakia abiria wanne pilot included. ukikaa ndani unajibana kama upo kwenye guta.
Hiyo sawa, ila akitaka ile comfortable kabisa ya kupigia picha hapo aandae minimum doll million 10 hadi 12 ambazo ni sawa na Bilioni 23 hadi 25.
Na Diamond hana hata nusu ya hiyo pesa.
So angekuwa ameshanunua maana wanavyopendà sifa, si unakumbuka RR.
kuna shule na hospital binafsi.Hospitali na Shule zinajengwa na serikali
unajuaje mkuu,mbona ugonjwa huu nawewe unao na una laumu wengine!!!Safi sana, watu wanapenda kupangia matumizi ya watu wakati wao wenyewe hawajawahi hata kuchangia mfuko mmoja wa simenti kwenye ujenzi wa hizo shule!
pale kuna kundi la machawa na makunguni kazi ni kusifia tu.Private jet vile vidogo kabisa bei ya chini kabisa ni dola million 2 ambayo ni sawa na billion 4.6.
Lakini hivi ni vile vya single engine kwa mbele na vinapakia abiria wanne pilot included. ukikaa ndani unajibana kama upo kwenye guta.
Hiyo sawa, ila akitaka ile comfortable kabisa ya kupigia picha hapo aandae minimum doll million 10 hadi 12 ambazo ni sawa na Bilioni 23 hadi 25.
Na Diamond hana hata nusu ya hiyo pesa.
So angekuwa ameshanunua maana wanavyopendà sifa, si unakumbuka RR.
Hio ni biashara nyingine, jaribu kuelewa conceptkuna shule na hospital binafsi.
concept ni kwamba shule ni kazi ya serikali au!!!Hio ni biashara nyingine, jaribu kuelewa concept