Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uanahangaika kuwapa truth hapa mbagathe next level.View attachment 2297138
Juma Lokole unadhihirisha kale katabia kako kachafu.Muonekano wa ndani. Na nje kwenye kambi ya MAKOLO Huko egypt..! sasa sii bora mngeenda Ruvuma tu
View attachment 2296418
View attachment 2296419
[emoji23][emoji23][emoji23]
Klabu Kubwa Afrika Bila Kuchukua Makombe?! [emoji2961][emoji2961][emoji2961]Hii mambo ya kuokoteza picha kufanyia editing ni utoto.
Uto nikujuze tu, ujue kwenye kambi ya Simba SC kuna wanahabari wa kimataifa wanaokwenda kuripoti taarifa za mazoezi yao ya kila siku.
Simba SC kwa sasa ni klabu kubwa Afrika inatambulika kila upande wa dunia yetu.
Usimshangae hawa wa jinsia ya tatu ndiyo walivyo.Hii mambo ya kuokoteza picha kufanyia editing ni utoto.
Uto nikujuze tu, ujue kwenye kambi ya Simba SC kuna wanahabari wa kimataifa wanaokwenda kuripoti taarifa za mazoezi yao ya kila siku.
Simba SC kwa sasa ni klabu kubwa Afrika inatambulika kila upande wa dunia yetu.
Muonekano wa ndani. Na nje kwenye kambi ya MAKOLO Huko egypt..! sasa sii bora mngeenda Ruvuma tu
View attachment 2296418
View attachment 2296419
[emoji23][emoji23][emoji23]
Gabacholi amesababisha mashabiki wengi wa simba wamekua na jazba zilizopitiliza hivyo tujitahidi kuwavumilia.Duh! Jitahidi kupunguza ukali wa maneno aisee.
Mabweni ya askari magereza.Hiyo ni hotel?
.Muonekano wa ndani. Na nje kwenye kambi ya MAKOLO huko Egypt. Sasa sii bora mngeenda Ruvuma tu.
View attachment 2296418
View attachment 2296419
[emoji23][emoji23][emoji23]