Kumbe hii ndio kambi ya Makolo FC huko Misri

Kumbe hii ndio kambi ya Makolo FC huko Misri

Mbona unasambaza habari za uongo🥴
Na nyie mliokosa Hela ya kwenda pre season tusemaje🤗
 
Nanyie camp yenu ipoje ?

IMG_0696.jpg

AVIC TOWN
 
Hii mambo ya kuokoteza picha kufanyia editing ni utoto.

Uto nikujuze tu, ujue kwenye kambi ya Simba SC kuna wanahabari wa kimataifa wanaokwenda kuripoti taarifa za mazoezi yao ya kila siku.

Simba SC kwa sasa ni klabu kubwa Afrika inatambulika kila upande wa dunia yetu.
 
Hii mambo ya kuokoteza picha kufanyia editing ni utoto.

Uto nikujuze tu, ujue kwenye kambi ya Simba SC kuna wanahabari wa kimataifa wanaokwenda kuripoti taarifa za mazoezi yao ya kila siku.

Simba SC kwa sasa ni klabu kubwa Afrika inatambulika kila upande wa dunia yetu.
Klabu Kubwa Afrika Bila Kuchukua Makombe?! [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Hii mambo ya kuokoteza picha kufanyia editing ni utoto.

Uto nikujuze tu, ujue kwenye kambi ya Simba SC kuna wanahabari wa kimataifa wanaokwenda kuripoti taarifa za mazoezi yao ya kila siku.

Simba SC kwa sasa ni klabu kubwa Afrika inatambulika kila upande wa dunia yetu.
Usimshangae hawa wa jinsia ya tatu ndiyo walivyo.
 
Back
Top Bottom