Kumbe hizi dini zote za kipigaji hakuna dini ambayoo hawataki maokotoo

Hii mbona ipo dubbed...

Halafu acha uchochezi mbona mada haijakaa kikorofi?
Hamna uchochezi wowote hapo. Nimeonyesha TU aliyenacho ampe asiyenacho. Kama gharama ni kubwa hizo basi waamini wachangiane.
By the way hamna dubbing hapo.
 
Very affordable na ukichunguza hizi bei ni sehemu ya sadaka. Hivi maiti mtu kapata ajali unaambiwa elfu 50, sanda na vifaa vyake bure ila mtu anakuja na mada za malalamiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…