Kumbe Huawei Harmony OS ni another version ya Android

Kumbe Huawei Harmony OS ni another version ya Android

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Wiki kadhaa zilizopita Huawei alitoa developer version ya Harmony OS, lakini kutokana na wakali wa Mambo na comparison ya side to side Ile ni Android 10 ambayo imekuwa edited.

Nimeona video wakicompare side by side inafanana kila kitu na android 10. Hata app development studio iko exactly Kama ya android isipokuwa apps badala ya kuwa na extension ya apk zinazkuwa na extension ya hap

Wataalam wa Mambo wanasema Ile ni Android 10 kwahiyo ni uongo pale Huawei alipodai Ana OS Kali kwenye store, labda Kama ataenda anatoa feature moja moja na kuongeza nyingine kwa taratibu.

 
Tatizo sio Android... Tatizo ni play services kutoka Google.. hii ina maana kuwa Harmony Os ni kama HiOs ya Tecno.. maana yake ni kwamba Android inakuwa imeongezewa User Interface(UI) ila kwa Harmony Os hamna play services
 
Tatizo sio Android... Tatizo ni play services kutoka Google.. hii ina maana kuwa Harmony Os ni kama HiOs ya Tecno.. maana yake ni kwamba Android inakuwa imeongezewa User Interface(UI) ila kwa Harmony Os hamna play services
Sasa hapo alikuwa na sababu gan ya kujitapa
 
Sasa hapo alikuwa na sababu gan ya kujitapa
Sababu ni kuweza kutengeneza platform ambayo iruhusu ku install application bila kuunganishwa na google play services..!
 
Hajatengeneza kafanya kucopy na kuedit edit, alisema itakuwa faster sijui lighter, tazama hiyo video inaenda sawa na android
Ni kweli inaweza kuwa lighter and faster japo video sijaitazama, kwa sababu kazi ya play services ni ku link apps zote pamoja ikiwemo playstore.. kitendo hicho huwa kinasababisha matumizi makubwa ya battery pamoja na Ram.. ila kwa Harmony hiyo haipo na ndio maana wanaweza kusema itakuwa lighter
 
Ni kweli inaweza kuwa lighter and faster japo video sijaitazama, kwa sababu kazi ya play services ni ku link apps zote pamoja ikiwemo playstore.. kitendo hicho huwa kinasababisha matumizi makubwa ya battery pamoja na Ram.. ila kwa Harmony hiyo haipo na ndio maana wanaweza kusema itakuwa lighter
Alibrag Sana what we expected siyo hiki ila ngoja tungoje
 
Hakuna corporation yoyote inayoweza ku launch OS mpya kabisa ndani ya miaka miwili. Hcho kitu hakiwezekani. Hata Android ilikuwa based on Linux kernel, hata macOS and Linux zilikua based on UNIX, Windows nayo ilkuwa based on MS-DOS.

Hivyo sishangai kuwa Huawei wametumia Android kwakua tayari ni open source platform yenye support kubwa sana. Wangetengeneza OS mpya kabisa wangepata shida sana kukusanya devs kwaajili ya kutengeneza app zao na walilijua hilo. Windows phones, FireFox OS, webOS, BBOS, Bada na Symbian zilikufa sababu hakukua na support kutoka kwa devs.

Ulimwengu wa sasa OS yako ikikosa support ya apps itakufa, watu sikuhzi wameshazoea apps na hawataki kutumia websites.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kitendo cha Android kua open-source, naona jamaa wamei customize na kulaunch 'ROM' yao
sheria ya ukichukua open source, basi na wewe lazima software yako uwe unatoa source code.

Kumbuka Android wamecustomize kutoka Linux ambayo ni open source.

naruhusu kukosolewa nilipokosea
 
Nawalaumu sana Windows phone OS kwa nini walikata tamaa kuendeleza mapambano. Hakika ilikuwa na mvuto wa kipekee kuliko hawa wanaoigana.
Microsoft wanatabia ya kukata tamaa wanapoona mwanzo ni mgumu. Walikata tamaa na Microsoft Zune baadala ya kupambana mwisho wake Apple wakaja na concept kma yao na kuimprove wakatengeneza iPod zilizotikisa soko.

Walikuja na Microsoft Kin kabla ya Windows phone, nayo ilikua nzuri tu wakakata tamaa baada ya mwaka mmoja tu na Blackberry, Nokia na wengine wakateka soko.

Walikuwa pioneers wakatumia ARM CPUs kwenye personal computers walivyoanza na Microsoft Surface RT, wakazembea sasa Apple wamekuja kuwaonesha jinsi ARM CPU zilivyokuwa na potential kubwa kwenye personal computers.

Yaani sometimes Microsoft wanazingua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna corporation yoyote inayoweza ku launch OS mpya kabisa ndani ya miaka miwili. Hcho kitu hakiwezekani. Hata Android ilikuwa based on Linux kernel, hata macOS and Linux zilikua based on UNIX, Windows nayo ilkuwa based on MS-DOS...
Na kuhusu kaios
 
Hakuna corporation yoyote inayoweza ku launch OS mpya kabisa ndani ya miaka miwili. Hcho kitu hakiwezekani. Hata Android ilikuwa based on Linux kernel, hata macOS and Linux zilikua based on UNIX, Windows nayo ilkuwa based on MS-DOS...
Uko sahihi kabisa kwahiyo tutegemee OS ilio bora zaidi kutoka Huawei muda si mrefu...
 
sheria ya ukichukua open source, basi na wewe lazima software yako uwe unatoa source code.

Kumbuka Android wamecustomize kutoka Linux ambayo ni open source.

naruhusu kukosolewa nilipokosea
Hyo sio sheria ya open source. Unaweza chukua open source code ukafanya chochote unachotaka. Kwani HiOS au MIUI ni open source?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom