Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mkuu hiyo lugha ya kujibebisha,, ##Mirinda anayayo?## namanisha nyeusi tamu hiyoooSijui lile sakata la kumdai vyeti tulianzishe upyaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Hilo neno "nasbili" ni kithibitisho tosha cha ukomo wa elimu yake .
Hapo ilibidi aandike "ninasubiri" na sio hiyo "nasbili" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].View attachment 950417
kwani alikua anatayarisha gazeti?Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Mkuu uko serious?Write your reply...
rire rijamaa ni rikiraza ra ukweri kabisa, sema kwa kuwa rina undugu na nanihii, ndo maana rinajidai..
Mtoa mada nikupe white pepar apaa uandike mwandiko wako tuone.. Humu jf majitu mengi yanajikuta sana et yanajua kuandika ...wakati ukiangalia mwandiko wao halisi ni zaidi ya bata mzingaSijui lile sakata la kumdai vyeti tulianzishe upyaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Hilo neno "nasbili" ni kithibitisho tosha cha ukomo wa elimu yake .
Hapo ilibidi aandike "ninasubiri" na sio hiyo "nasbili" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].View attachment 950417
Jamaa inaonekana umeumia sana baba keagan kumpost kìng kibaSijui lile sakata la kumdai vyeti tulianzishe upyaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Hilo neno "nasbili" ni kithibitisho tosha cha ukomo wa elimu yake .
Hapo ilibidi aandike "ninasubiri" na sio hiyo "nasbili" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].View attachment 950417