Kumbe ilikuwa ya mama mkwe

Aiseeee3[emoji87][emoji85][emoji114][emoji114]
 
Duh, baadaye lile busu likaja kuzaa uhalisia kule Temeke!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha Mshana Jr umenikumbusha stories za Munga Tehenani kwenye segment ya Nilivyofedheheka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna kamwendelezo hapa kanakosekana au mi sielewi!
 
Ndio.. Na mama mkwe ana mtoto wa kiume wa uzeeni! Baba mkwe anasema wamejitahidi sana kutafuta mrithi lakini hawakufanikiwa mpaka huyo wa baada ya harusi! Harusi ilikuja na baraka
Isije ikawa wewe ndiye uliyeleta baraka ya mtoto wa kiume (!!??). Japo mtoto ni mtoto tu, hata bila mahusiano maalum na/au rasmi. Yeye hahusiani kabisa na makosa ya wazazi!
 
Hii inaitwa maturity. Maturity =Life Experience + exposure
 

Hahaha....

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…