Kumbe ilikuwa ya mama mkwe

Kumbe ilikuwa ya mama mkwe

Ladha ilikuwa tofauti na siku zote! Kumbe ile tamu ilikuwa ya mama mkwe[emoji848][emoji40]
Mavi ya kale hayanuki! Hii ni story yangu mwenyewe! With time passed kuna vitu havina madhara tena hata ukoviweka wazi.. Nilimpoteza mke wangu wa kwanza 2002.. Apumzike kwa amani[emoji25]

Sorry kwa watakaokwazika na hii simulizi, maana najulikana na wengi.. Nilifunga ndoa ya Kimila mkoani, na baada ya harusi tukarudi Dar Temeke kwa Aziz Ally mtaa wa uwanja wa Sifa bythen, na mama mkwe alitufuata mwezi mmoja baadae kuja kutusalimia

Nyumba niliyokuwa nimepanga ilikuwa upande wa vyuma vitatu kwa maana ya katikati sebule kushoto bedroom na kulia bedroom.. Wakati huo hatukuwa na watoto hivyo nyumba ile ilitufaa kwa mahitaji yetu
Siku mama mkwe anafika tulienda kumpokea pale Kisutu kaja na Dar Express, tukafika salama home tukatua mizigo na kupata mlo wa jioni ndizi na nyama! Ndizi alikuja nazo mama mkwe

Pale uwanja wa Sifa ilikuwepo bar maarufu enzi hizo ikijulikana kama Zebra bar! Basi baada ya mlo wa jioni tukajisogeza hapo kumkirimu mama mkwe.

Mke wangu hakuwa mnywaji kivile lakini kuna vi wine vinaitwa banana wakati huo ndio vilikuwa vinatamba sokoni.. Vikali sana! Mke wangu alikuwa akivipiga viwili tu hoi kabisa.

Basi siku ile mimi na Serengeti larger za wakati huo zile kubwa, mama mkwe hajambo alikuwa anaondoka safari wife banana wine.

Bia moja huanzisha nyingine kufika saa nne usiku mama mkwe alikuwa keshakula safari tano, mke wangu banana wine zake 2 tu. Wakawa wamechoka na kuomba kutangulia home, nikawaruhusu.

Mimi na Serengeti zangu za kutosha kufika home kwenye saa sita hivi usiku moja kwa moja chumbani, sikuwa na haja ya kuwasha taa maana mwanga hafifu toka taa ya nje kupitia dirishani ulitosha kuangaza macho
Nikavua nikapanda kitandani na kumkuta wife kalala na nguo.. Kidogo nikasirike maana ukikubali ndoa kubali kulala wuchi[emoji23] lakini nilipokumbuka kanywa banana wine sikumlaumu tena!

Nikamchojoa zote nikajihudumia chakula cha usiku watoto wakila wamelala.. Nikajisevia self service ila nikashangaa mbona kama ladha ya leo ni tofauti na niliyozoea? Kuanzia kina, expansion joint mpaka sentigredi? Nikajua pengine leo ni special order.

Cha kushangaza zaidi hata ufundi wa leo ulikuwa extra mile[emoji23] Nikamaliza kula lakini sikunawa wala kunawisha! Sio kosa wote tulikuwa hoi sana!

Kibaridi cha saa tisa usiku kuelekea alfajiri ndio kiliniamsha.. Wakati huo hata ulevi ulikuwa umeshakata.. Nikajaribu kumkumbatia mkewangu nipate joto na pengine ikibidi morning glory, lakini nikaona kama kaongezeka unene! Hili likanipa fadhaa nikawasha switch pembezoni mwa kitanda!

Lahaulah aliyekuwepo kitanda ni mama mkwe![emoji3064] Nikazima nikawasha! Nikazima tena nikawasha nikazima na kuwasha zaidi ya mara tatu ili nikiwasha sura ibadilike lakini wapi! Sura ilikuwa ileile ya mama mkwe! Na shepu lake la kiutu uzima[emoji39]

Nikiwa nimechanganyikiwa nikamsitiri na kutoka kimyakimya na kufunga mlango taratibu mno! Nikavuka sebuleni nikaingia chumba cha wageni na kuwasha taa.. Duh! Aliyekuwepo kitandani ni mke wangu, kajiweka mkao wa menu.

Wala sikuwa na haja ya kushangaa mara mbili nikazima taa na kurukia kitandani, wakati huo ilikuwa ni adhana ya kwanza! Na jogoo la pili linawika!

Niliamshwa na wife saa tatu asubuhi, akiniambia niamke tumsindikize mama mkwe stand kapata taarifa ya dharura kijijini hivyo inabidi aondoke siku hiyohiyo.. Sikuwa na ubavu wa kumsindikiza nikatoa visingizio kadhaa na kumkodishia tax iliyompeleka hadi Kisutu

Jioni ile ikabidi nimuulize wife ilikuwaje akabadili vyumba bila taarifa? Akasema waliporudi akaona ni vema mama yake alale chumbani kwetu maana kulikuwa self nasi tulale kwa wageni. Akaniuliza kwani uliporudi uliingia chumba gani? Nami nikamjibu kwani ulipoamka ulimuacha nani kitandani?[emoji23]

Kumbe ilikuwa ya mamamkwe[emoji848][emoji2827][emoji1544][emoji1550]
Aiseeee3[emoji87][emoji85][emoji114][emoji114]
 
Hicho ni kisanga cha pili cha kwanza kilianzia ukweni
Baada ya kutoka honey moon tuliitwa kwa wakwe tutie baraka ya kulala pale.. Sasa jioni ile mkewangu akaambiwa akipe .. Mimi nilikuwa chumbani
Kufika kwenye saa moja usiku umeme ukakatika na nikamsikia mama mkwe akimuagiza mwanae akalete mshumaa sebuleni! Kule kijijini majiko ni nje

Sasa sikujua kama mama mkwe kaghairi kumtuma bintiye na kuamua kwenda mwenyewe.. Mimi na utukutu wangu nikijua mkewangu ndio anakuja nikatoka chumbani kuelekea sebuleni nikamshika nikamvuta nikampa bonge la kiss! Palepale umeme nao ukarudi
Kumbe hakuwa mkewangu ni mama mkwe![emoji1544][emoji23]! Sikutoka chumbani mpaka tulipoondika kesho yake! Japo mama mkwe alijua fika ilikuwa ni wrong number[emoji23]
Duh, baadaye lile busu likaja kuzaa uhalisia kule Temeke!
 
Ladha ilikuwa tofauti na siku zote! Kumbe ile tamu ilikuwa ya mama mkwe[emoji848][emoji40]
Mavi ya kale hayanuki! Hii ni story yangu mwenyewe! With time passed kuna vitu havina madhara tena hata ukoviweka wazi.. Nilimpoteza mke wangu wa kwanza 2002.. Apumzike kwa amani[emoji25]

Sorry kwa watakaokwazika na hii simulizi, maana najulikana na wengi.. Nilifunga ndoa ya Kimila mkoani, na baada ya harusi tukarudi Dar Temeke kwa Aziz Ally mtaa wa uwanja wa Sifa bythen, na mama mkwe alitufuata mwezi mmoja baadae kuja kutusalimia

Nyumba niliyokuwa nimepanga ilikuwa upande wa vyuma vitatu kwa maana ya katikati sebule kushoto bedroom na kulia bedroom.. Wakati huo hatukuwa na watoto hivyo nyumba ile ilitufaa kwa mahitaji yetu
Siku mama mkwe anafika tulienda kumpokea pale Kisutu kaja na Dar Express, tukafika salama home tukatua mizigo na kupata mlo wa jioni ndizi na nyama! Ndizi alikuja nazo mama mkwe

Pale uwanja wa Sifa ilikuwepo bar maarufu enzi hizo ikijulikana kama Zebra bar! Basi baada ya mlo wa jioni tukajisogeza hapo kumkirimu mama mkwe.

Mke wangu hakuwa mnywaji kivile lakini kuna vi wine vinaitwa banana wakati huo ndio vilikuwa vinatamba sokoni.. Vikali sana! Mke wangu alikuwa akivipiga viwili tu hoi kabisa.

Basi siku ile mimi na Serengeti larger za wakati huo zile kubwa, mama mkwe hajambo alikuwa anaondoka safari wife banana wine.

Bia moja huanzisha nyingine kufika saa nne usiku mama mkwe alikuwa keshakula safari tano, mke wangu banana wine zake 2 tu. Wakawa wamechoka na kuomba kutangulia home, nikawaruhusu.

Mimi na Serengeti zangu za kutosha kufika home kwenye saa sita hivi usiku moja kwa moja chumbani, sikuwa na haja ya kuwasha taa maana mwanga hafifu toka taa ya nje kupitia dirishani ulitosha kuangaza macho
Nikavua nikapanda kitandani na kumkuta wife kalala na nguo.. Kidogo nikasirike maana ukikubali ndoa kubali kulala wuchi[emoji23] lakini nilipokumbuka kanywa banana wine sikumlaumu tena!

Nikamchojoa zote nikajihudumia chakula cha usiku watoto wakila wamelala.. Nikajisevia self service ila nikashangaa mbona kama ladha ya leo ni tofauti na niliyozoea? Kuanzia kina, expansion joint mpaka sentigredi? Nikajua pengine leo ni special order.

Cha kushangaza zaidi hata ufundi wa leo ulikuwa extra mile[emoji23] Nikamaliza kula lakini sikunawa wala kunawisha! Sio kosa wote tulikuwa hoi sana!

Kibaridi cha saa tisa usiku kuelekea alfajiri ndio kiliniamsha.. Wakati huo hata ulevi ulikuwa umeshakata.. Nikajaribu kumkumbatia mkewangu nipate joto na pengine ikibidi morning glory, lakini nikaona kama kaongezeka unene! Hili likanipa fadhaa nikawasha switch pembezoni mwa kitanda!

Lahaulah aliyekuwepo kitanda ni mama mkwe![emoji3064] Nikazima nikawasha! Nikazima tena nikawasha nikazima na kuwasha zaidi ya mara tatu ili nikiwasha sura ibadilike lakini wapi! Sura ilikuwa ileile ya mama mkwe! Na shepu lake la kiutu uzima[emoji39]

Nikiwa nimechanganyikiwa nikamsitiri na kutoka kimyakimya na kufunga mlango taratibu mno! Nikavuka sebuleni nikaingia chumba cha wageni na kuwasha taa.. Duh! Aliyekuwepo kitandani ni mke wangu, kajiweka mkao wa menu.

Wala sikuwa na haja ya kushangaa mara mbili nikazima taa na kurukia kitandani, wakati huo ilikuwa ni adhana ya kwanza! Na jogoo la pili linawika!

Niliamshwa na wife saa tatu asubuhi, akiniambia niamke tumsindikize mama mkwe stand kapata taarifa ya dharura kijijini hivyo inabidi aondoke siku hiyohiyo.. Sikuwa na ubavu wa kumsindikiza nikatoa visingizio kadhaa na kumkodishia tax iliyompeleka hadi Kisutu

Jioni ile ikabidi nimuulize wife ilikuwaje akabadili vyumba bila taarifa? Akasema waliporudi akaona ni vema mama yake alale chumbani kwetu maana kulikuwa self nasi tulale kwa wageni. Akaniuliza kwani uliporudi uliingia chumba gani? Nami nikamjibu kwani ulipoamka ulimuacha nani kitandani?[emoji23]

Kumbe ilikuwa ya mamamkwe[emoji848][emoji2827][emoji1544][emoji1550]
kuna kamwendelezo hapa kanakosekana au mi sielewi!
 
Ndio.. Na mama mkwe ana mtoto wa kiume wa uzeeni! Baba mkwe anasema wamejitahidi sana kutafuta mrithi lakini hawakufanikiwa mpaka huyo wa baada ya harusi! Harusi ilikuja na baraka
Isije ikawa wewe ndiye uliyeleta baraka ya mtoto wa kiume (!!??). Japo mtoto ni mtoto tu, hata bila mahusiano maalum na/au rasmi. Yeye hahusiani kabisa na makosa ya wazazi!
 
Ladha ilikuwa tofauti na siku zote! Kumbe ile tamu ilikuwa ya mama mkwe[emoji848][emoji40]
Mavi ya kale hayanuki! Hii ni story yangu mwenyewe! With time passed kuna vitu havina madhara tena hata ukoviweka wazi.. Nilimpoteza mke wangu wa kwanza 2002.. Apumzike kwa amani[emoji25]

Sorry kwa watakaokwazika na hii simulizi, maana najulikana na wengi.. Nilifunga ndoa ya Kimila mkoani, na baada ya harusi tukarudi Dar Temeke kwa Aziz Ally mtaa wa uwanja wa Sifa bythen, na mama mkwe alitufuata mwezi mmoja baadae kuja kutusalimia

Nyumba niliyokuwa nimepanga ilikuwa upande wa vyuma vitatu kwa maana ya katikati sebule kushoto bedroom na kulia bedroom.. Wakati huo hatukuwa na watoto hivyo nyumba ile ilitufaa kwa mahitaji yetu
Siku mama mkwe anafika tulienda kumpokea pale Kisutu kaja na Dar Express, tukafika salama home tukatua mizigo na kupata mlo wa jioni ndizi na nyama! Ndizi alikuja nazo mama mkwe

Pale uwanja wa Sifa ilikuwepo bar maarufu enzi hizo ikijulikana kama Zebra bar! Basi baada ya mlo wa jioni tukajisogeza hapo kumkirimu mama mkwe.

Mke wangu hakuwa mnywaji kivile lakini kuna vi wine vinaitwa banana wakati huo ndio vilikuwa vinatamba sokoni.. Vikali sana! Mke wangu alikuwa akivipiga viwili tu hoi kabisa.

Basi siku ile mimi na Serengeti larger za wakati huo zile kubwa, mama mkwe hajambo alikuwa anaondoka safari wife banana wine.

Bia moja huanzisha nyingine kufika saa nne usiku mama mkwe alikuwa keshakula safari tano, mke wangu banana wine zake 2 tu. Wakawa wamechoka na kuomba kutangulia home, nikawaruhusu.

Mimi na Serengeti zangu za kutosha kufika home kwenye saa sita hivi usiku moja kwa moja chumbani, sikuwa na haja ya kuwasha taa maana mwanga hafifu toka taa ya nje kupitia dirishani ulitosha kuangaza macho
Nikavua nikapanda kitandani na kumkuta wife kalala na nguo.. Kidogo nikasirike maana ukikubali ndoa kubali kulala wuchi[emoji23] lakini nilipokumbuka kanywa banana wine sikumlaumu tena!

Nikamchojoa zote nikajihudumia chakula cha usiku watoto wakila wamelala.. Nikajisevia self service ila nikashangaa mbona kama ladha ya leo ni tofauti na niliyozoea? Kuanzia kina, expansion joint mpaka sentigredi? Nikajua pengine leo ni special order.

Cha kushangaza zaidi hata ufundi wa leo ulikuwa extra mile[emoji23] Nikamaliza kula lakini sikunawa wala kunawisha! Sio kosa wote tulikuwa hoi sana!

Kibaridi cha saa tisa usiku kuelekea alfajiri ndio kiliniamsha.. Wakati huo hata ulevi ulikuwa umeshakata.. Nikajaribu kumkumbatia mkewangu nipate joto na pengine ikibidi morning glory, lakini nikaona kama kaongezeka unene! Hili likanipa fadhaa nikawasha switch pembezoni mwa kitanda!

Lahaulah aliyekuwepo kitanda ni mama mkwe![emoji3064] Nikazima nikawasha! Nikazima tena nikawasha nikazima na kuwasha zaidi ya mara tatu ili nikiwasha sura ibadilike lakini wapi! Sura ilikuwa ileile ya mama mkwe! Na shepu lake la kiutu uzima[emoji39]

Nikiwa nimechanganyikiwa nikamsitiri na kutoka kimyakimya na kufunga mlango taratibu mno! Nikavuka sebuleni nikaingia chumba cha wageni na kuwasha taa.. Duh! Aliyekuwepo kitandani ni mke wangu, kajiweka mkao wa menu.

Wala sikuwa na haja ya kushangaa mara mbili nikazima taa na kurukia kitandani, wakati huo ilikuwa ni adhana ya kwanza! Na jogoo la pili linawika!

Niliamshwa na wife saa tatu asubuhi, akiniambia niamke tumsindikize mama mkwe stand kapata taarifa ya dharura kijijini hivyo inabidi aondoke siku hiyohiyo.. Sikuwa na ubavu wa kumsindikiza nikatoa visingizio kadhaa na kumkodishia tax iliyompeleka hadi Kisutu

Jioni ile ikabidi nimuulize wife ilikuwaje akabadili vyumba bila taarifa? Akasema waliporudi akaona ni vema mama yake alale chumbani kwetu maana kulikuwa self nasi tulale kwa wageni. Akaniuliza kwani uliporudi uliingia chumba gani? Nami nikamjibu kwani ulipoamka ulimuacha nani kitandani?[emoji23]

Kumbe ilikuwa ya mamamkwe[emoji848][emoji2827][emoji1544][emoji1550]
Hii inaitwa maturity. Maturity =Life Experience + exposure
 
Tulikuwa hatuwezi kuangaliana usoni tulipokutana msibani na ndio mwanzo wa kuvaa sungogles
emoji23.png
Mweeh, pole sana! Je, bado Mama Mkwe yuko hai?!
 
Hicho ni kisanga cha pili cha kwanza kilianzia ukweni
Baada ya kutoka honey moon tuliitwa kwa wakwe tutie baraka ya kulala pale.. Sasa jioni ile mkewangu akaambiwa akipe .. Mimi nilikuwa chumbani
Kufika kwenye saa moja usiku umeme ukakatika na nikamsikia mama mkwe akimuagiza mwanae akalete mshumaa sebuleni! Kule kijijini majiko ni nje

Sasa sikujua kama mama mkwe kaghairi kumtuma bintiye na kuamua kwenda mwenyewe.. Mimi na utukutu wangu nikijua mkewangu ndio anakuja nikatoka chumbani kuelekea sebuleni nikamshika nikamvuta nikampa bonge la kiss! Palepale umeme nao ukarudi
Kumbe hakuwa mkewangu ni mama mkwe![emoji1544][emoji23]! Sikutoka chumbani mpaka tulipoondika kesho yake! Japo mama mkwe alijua fika ilikuwa ni wrong number[emoji23]

Hahaha....

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party
 
[emoji23][emoji23]mshana hii kali.

Umenikumbusha tulivyoenda kupiga tungi na wafanyakazi wenzanguna tulikuwa na mkuu wa idara mwanamke.

Bahati mbaya siku hiyo nikaamua kuchagua pombe wanayokunywa wenzangu ilikuwa smirnoff Vodka 1818 ya mrusi[emoji23].

Jamaa zangu wakanionya kuwa nisifakamie kama sijaizoea. Mimi nikawaambia hivi nyinyi mnadhani nimeanza kunywa pombe leo?
Wakaniacha.

piga vitu piga vitu vikakolea badae kwenye meza nkawa siwaoni wenzangu namuona Boss tu,nikaanza ooh nakupenda “Rose”(Code) nataka nkakutomb. sijui twende nikakupe mboro

wenzangu wakati huo wako pembeni wakastuka na kunibeba mpka home kwangu
Asubuhi napigiwa simu kuhadithiwa nilichofanya[emoji23][emoji23]

nikaandika barua ya likizo mana stori ilisambaa ofisi nzima

AIBUU AIBUUU AIBUUU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom