Kumbe "imoooo" ya fiesta ni idea ya Jose mtambo??

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Hawa clouds ni kiboko kwa wizi! Hii idea yao fiesta inayosema imoooo, ni idea ya Jose mtambo (msanii wa hip hop),huenda hata huyu msanii hajui ya kwamba kaibiwa kimstari chake.

Sasa ni hivi nenda kasikilize wimbo wa Jose mtambo aliomshirikisha Dully sykes kwenye chorus unaitwa DARASA HURU, sikiliza verse ya pili,inasema hivi "JE UMECHAGUA VIBONGE KAMA WACHEZA SUMO, HAINA NOMA HATA KAMA WE FIDODIDO IMOOOO".

Huu wimbo kwa nyie watoto wa team diamond na team kiba hamuwezi kuujua maana aliutoa mwaka 2002.

Kinachoniuma ni kwamba msanii huyu hajapewa hata show moja ya fiesta, daaaa na hata yeye ukute hajui kama kaibiwa hii idea,
 
hiyo ya jose mtambo aliisajiri sumatra na kupata hati miliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…