Kumbe Injinia Hersi alisoma Kayumba?

Kumbe Injinia Hersi alisoma Kayumba?

Akijibu swali la kizushi kutoka kwa Oscar Oscar Wasafi TV, kwambaπŸ‘‡πŸ‘‡

"Inasemekana ulipokuwa mtoto ulikuwa unaonekana kama una mapenzi na Simba.

Hata mlipokuwa mkicheza chandimu Simba na Yanga wewe ulikuwaga unachagua upande wa Simba, ila sasa hivi umekua Rais wa Yanga. Hebu tuambie hii imekaaje"

Majibu ya Injinia Hersi sasaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nimekulia jijini Dar es salaam. Nimesoma katikati ya jiji, shule ya Msingi Kidongo Chekundu( AMBAYO NI KAYUMBA/ the emphasis is mine)

Wakati Mimi nasoma Kayumba, wewe ulikuwa kwenu Kaliua. Huwezi kuwa na taarifa zangu za utotoni. Mjini umekuja juzi".


..........

Shule za Kayumba huwaandaa watoto wa kitanzania na uhalisia halisi wa maisha ya kitanzania.

Ewe mzazi, ewe miezi. Acha kuendelea kupunwa.

Huna sababu yoyote ile kuendelea kupoteza hela zako kwa kumlipia mtoto wako pesa nyingi kwenye shule za English Medium ili atakapo maliza chuo aende akawe winga Kariakoo.

Shule za English Medium hazina umuhimu wala upekee wowote kwenye future ya mtoto wako.

Upekee na umuhimu huo umewekwa na wamiliki wa shule hizo ili wakupige hela.


Hizo hela zako unazo poteza ni bora uzitumie kuwanunulia watoto wako assetts halisi kama vile nyumba, mashamba, viwanja, hisa n.k.

Waache wasome Kayumba huku ukiwasimamia kwa ukaribu sana ili wafike sekondari hadi chuo.

Jambo hilo liende sambamba na kuwafundisha biashara na skills za maisha.

Unapolipa mamilioni kwenye shule za English Mediums unacho kifanya ni πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" kula nyumba, mashamba, viwanja, biashara za watoto wako etc, in the form of an evil spirit who is known as school fees"

Unakuwa kama mtu asiekuwa na akili sawa sawa wala maarifa.

Unamsaidia mmiliki wa shule ya EM kujenga nyumba za watoto wake, kununua magari, mashamba, viwanja n.k vya watoto wake kwa kutumia pesa ambazo ungepaswa kuzitumia kuwajengea watoto wako.

U mjinga kiasi gani wewe. Yani unatoa maji kwenye kisima chako unaenda kuyamwaga kwenye bahari ya mtu mwingine???.

Narudia tena. Shule za English Medium hazina upekee wala umuhimu wowote ule. Upekee na umuhimu huo una exist kwenye mawazo yako wewe mtanzania ambae umekuwa brainwashed na propaganda za Wamiliki wa shule hizo..

Usisahau kwambaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Elimu ya msingi ni kwa ajili ya watoto kukua na kusocialize na wenzao Plus kupata just basic knowledge kama vile kujua kusoma na kuandika, KUHESABU, HISABATI, basic geography, basic English Etc. Huhitaji kulipa mamilioni kwa mtoto wako kupata vitu hivyo


πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘† MAKAGA CAMPAIGN.
Na boss wake ameenda International School of Tanganyika (IST)
 
Akijibu swali la kizushi kutoka kwa Oscar Oscar Wasafi TV, kwambaπŸ‘‡πŸ‘‡

"Inasemekana ulipokuwa mtoto ulikuwa unaonekana kama una mapenzi na Simba.

Hata mlipokuwa mkicheza chandimu Simba na Yanga wewe ulikuwaga unachagua upande wa Simba, ila sasa hivi umekua Rais wa Yanga. Hebu tuambie hii imekaaje"

Majibu ya Injinia Hersi sasaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nimekulia jijini Dar es salaam. Nimesoma katikati ya jiji, shule ya Msingi Kidongo Chekundu( AMBAYO NI KAYUMBA/ the emphasis is mine)

Wakati Mimi nasoma Kayumba, wewe ulikuwa kwenu Kaliua. Huwezi kuwa na taarifa zangu za utotoni. Mjini umekuja juzi".


..........

Shule za Kayumba huwaandaa watoto wa kitanzania na uhalisia halisi wa maisha ya kitanzania.

Ewe mzazi, ewe miezi. Acha kuendelea kupunwa.

Huna sababu yoyote ile kuendelea kupoteza hela zako kwa kumlipia mtoto wako pesa nyingi kwenye shule za English Medium ili atakapo maliza chuo aende akawe winga Kariakoo.

Shule za English Medium hazina umuhimu wala upekee wowote kwenye future ya mtoto wako.

Upekee na umuhimu huo umewekwa na wamiliki wa shule hizo ili wakupige hela.


Hizo hela zako unazo poteza ni bora uzitumie kuwanunulia watoto wako assetts halisi kama vile nyumba, mashamba, viwanja, hisa n.k.

Waache wasome Kayumba huku ukiwasimamia kwa ukaribu sana ili wafike sekondari hadi chuo.

Jambo hilo liende sambamba na kuwafundisha biashara na skills za maisha.

Unapolipa mamilioni kwenye shule za English Mediums unacho kifanya ni πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

" kula nyumba, mashamba, viwanja, biashara za watoto wako etc, in the form of an evil spirit who is known as school fees"

Unakuwa kama mtu asiekuwa na akili sawa sawa wala maarifa.

Unamsaidia mmiliki wa shule ya EM kujenga nyumba za watoto wake, kununua magari, mashamba, viwanja n.k vya watoto wake kwa kutumia pesa ambazo ungepaswa kuzitumia kuwajengea watoto wako.

U mjinga kiasi gani wewe. Yani unatoa maji kwenye kisima chako unaenda kuyamwaga kwenye bahari ya mtu mwingine???.

Narudia tena. Shule za English Medium hazina upekee wala umuhimu wowote ule. Upekee na umuhimu huo una exist kwenye mawazo yako wewe mtanzania ambae umekuwa brainwashed na propaganda za Wamiliki wa shule hizo..

Usisahau kwambaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Elimu ya msingi ni kwa ajili ya watoto kukua na kusocialize na wenzao Plus kupata just basic knowledge kama vile kujua kusoma na kuandika, KUHESABU, HISABATI, basic geography, basic English Etc. Huhitaji kulipa mamilioni kwa mtoto wako kupata vitu hivyo


πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘† MAKAGA CAMPAIGN.
Enzi zake kayumba zilikuwa nzuri

Iga sasa hivi mtoto wako aone cha mtema kuni

Kayumba wakati huo wanafunzi 35 darasa sasa hivi 120

Kayumba enzi zake walimu walukuwa ni wale tu waliopata division one na two sekondary sasa hivi ni wa division three na four

Huduma shule za uhakika

Iga ufe
 
Kwani English Medium kuna nini cha ziada zaidi ya kiingereza? Kama hela ya kutosha mpeleke mwanao English Medium akajue kiingereza akiwa mtoto ila kama maisha yako ni ya kuunga unampeleka mtoto English Medium alafu form one anapelekwa kayumba na wewe unashukuru umetua mzigo SASA unafanya nn? Si Bora hiyo hela uiweke asome kayumba mpaka la Saba alafu form one mpaka chuo mlipie Ada asome shule nzuri?
English medium hawaendi tuition kama wa kayumba wanaonusurika kugongwa na bodaboda na daladala na bajaji kwenda tuition

English medium wanajiamini walichofundisha hawataki mtoto aende tuition popote wasije mchanganya
 
It doesn't change my point kwamba alisoma Kayumba.

We are not talking about his children mkuu. We are talking about him. Usitoke kwenye mada.
Nyakati bro, nyakati zinatofautiana sana. Wanafunzi wa miaka ya 80 mikoani almost wote wamesoma bila viatu na huenda sasa hvi ni watu wakubwa tu....! Je? Watoto wao au watoto wa wengine nao wafanye hivo hivo leo? Nyakati na teknolojia zake
 
Kwani English Medium kuna nini cha ziada zaidi ya kiingereza? Kama hela ya kutosha mpeleke mwanao English Medium akajue kiingereza akiwa mtoto ila kama maisha yako ni ya kuunga unampeleka mtoto English Medium alafu form one anapelekwa kayumba na wewe unashukuru umetua mzigo SASA unafanya nn? Si Bora hiyo hela uiweke asome kayumba mpaka la Saba alafu form one mpaka chuo mlipie Ada asome shule nzuri?
Kusomesha ni mzigo kwa lofa asiyejielewa umuhimu wa elimu nzuri
 
Back
Top Bottom