Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Kabisa kabisaHakuna lolote pale.Pumbaaavu USA kakutana na chuma Iran.Apeleke sasa huo upuuzi wake F-35 Stealth akutane na moto mwingine.Propaganda nyingi,eti vifaa vyetu ni vya kisasa zaidi havionekani kwa rada, Nchi kama Iran inazipiga tu,je kwa Russia?😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna lolote pale.Pumbaaavu USA kakutana na chuma Iran.Apeleke sasa huo upuuzi wake F-35 Stealth akutane na moto mwingine.Propaganda nyingi,eti vifaa vyetu ni vya kisasa zaidi havionekani kwa rada, Nchi kama Iran inazipiga tu,je kwa Russia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huo ni uzushi mkuu mtu mzima kachezea za usoHabari.
Kuna habari za Kiintelegensia zinaonyesha eti USA waliirusha ile Drone katika anga la Irani Makusudi ili Iran Aitungue na hivyo USA wapate sababu ya wazi na ya moja kwa moja Kuiadhibu Iran.
Haya sasa kama ni mkenge sasa Irani kaingia kichwakichwa.
Baada ya kuipiga nini kinaendelea?. Unaongelea Syria mimi naongelea Russia.Kwani Iran ameidungua hiyo takataka akiwa Lebanon?.😂😂😂😂😂😂Hivi Russia si alisema marekani asijaribu kuipiga syria?
Vita marekani alipoipiga russia alifanya nini?
Donald J. Trump ✔ @realDonaldTrump
· 4h
Replying to @realDonaldTrump
....Death to America. I terminated deal, which was not even ratified by Congress, and imposed strong sanctions. They are a much weakened nation today than at the beginning of my Presidency, when they were causing major problems throughout the Middle East. Now they are Bust!....
Donald J. Trump ✔ @realDonaldTrump
....On Monday they shot down an unmanned drone flying in International Waters. We were cocked & loaded to retaliate last night on 3 different sights when I asked, how many will die. 150 people, sir, was the answer from a Gener
Sawa msemaji wa PentagonHabari.
Kuna habari za Kiintelegensia zinaonyesha eti USA waliirusha ile Drone katika anga la Irani Makusudi ili Iran Aitungue na hivyo USA wapate sababu ya wazi na ya moja kwa moja Kuiadhibu Iran.
Haya sasa kama ni mkenge sasa Irani kaingia kichwakichwa.
Mbona huyo Us wako kaikimbia Syria na mpaka Bashad Al Asad bado Ni Rais wa Syria[emoji23]Hivi Russia si alisema marekani asijaribu kuipiga syria?
Vita marekani alipoipiga russia alifanya nini?
Hivi Russia si alisema marekani asijaribu kuipiga syria?
Vita marekani alipoipiga russia alifanya nini?
Mkuu upp dunia hii kweli?
Ulifuatilia vita ya syria au ulihadithiwa??
Dont mess with the russians