Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Habari.
Kuna habari za Kiintelegensia zinaonyesha eti USA waliirusha ile Drone katika anga la Irani Makusudi ili Iran Aitungue na hivyo USA wapate sababu ya wazi na ya moja kwa moja Kuiadhibu Iran.
Haya sasa kama ni mkenge sasa Irani kaingia kichwakichwa.
Kuna habari za Kiintelegensia zinaonyesha eti USA waliirusha ile Drone katika anga la Irani Makusudi ili Iran Aitungue na hivyo USA wapate sababu ya wazi na ya moja kwa moja Kuiadhibu Iran.
Haya sasa kama ni mkenge sasa Irani kaingia kichwakichwa.
