State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.
Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
R. I. P Kamanda Haniyeh.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.
Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
R. I. P Kamanda Haniyeh.