Kumbe Ismail Haniyeh aliuliwa kwa kutegeshewa bomu chini ya kitanda!

Kumbe Ismail Haniyeh aliuliwa kwa kutegeshewa bomu chini ya kitanda!

Hii ni kamba
GUSKmzfboAAnmUh.jpeg
 
Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.

Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
View attachment 3064005
R. I. P Kamanda Haniyeh.

Bila source ya hii taarifa unakuwa udaku mwingine tu kama wa magazeti ya yule mheshimiwa mbunge.
 
Raisi wa Irani ameshtukia mtego huo kuwa Israel hahusiki na kumuua Isamil Haniyeh na kwamba ukweli ni wakuu wa ulinzi walifanya makusudi ili Raisi mpya ajipe ghadhabu aingie vitani na Israel.

Lakini Rais Masoud ni msomi mwenye msimamo wa wastani na mzalendo mwenye upeo mkubwa, hivyo amechomoa fuse, amegoma kuingia vitani na Israel akihofia Israel wakijibu wataiyumbisha Iran kiuchumi na maisha ya wairan yatayumba. Amemgomea Mkuu wa nchi kidini na wakuu wa vitengo vya usalama wa nchi.
Nampongeza kwa akili kubwa kama hiyo.
Kwa hiyo visasi vimeahirishwa!
 
Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.

Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
View attachment 3064005
R. I. P Kamanda Haniyeh.

Kumbe hii ni habari ya State Propaganda

 
Raisi wa Irani ameshtukia mtego huo kuwa Israel hahusiki na kumuua Isamil Haniyeh na kwamba ukweli ni wakuu wa ulinzi walifanya makusudi ili Raisi mpya ajipe ghadhabu aingie vitani na Israel.

Lakini Rais Masoud ni msomi mwenye msimamo wa wastani na mzalendo mwenye upeo mkubwa, hivyo amechomoa fuse, amegoma kuingia vitani na Israel akihofia Israel wakijibu wataiyumbisha Iran kiuchumi na maisha ya wairan yatayumba. Amemgomea Mkuu wa nchi kidini na wakuu wa vitengo vya usalama wa nchi.
Nampongeza kwa akili kubwa kama hiyo.
Kwa hiyo visasi vimeahirishwa!

Ndivyo alivyokuambia au umekuwa msemaji wake ??
 
Wamemuua Haniyey lakini kapatikana zaidi yake Yahya Sinwar saa hizi mayahudi ni uharo tu !
 
Back
Top Bottom