Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio geni, ni sunnahKwamba mtu kulala na bodyguard wake sio jambo geni huko Iran
TelegramGroup la WhatsApp??
Tangu mwaka jana watsapp, twitter insta na Facebook walicompromise hivyo brigades zote za hamas zinatumia telegram pamoja na mtandao wa chinaGroup la WhatsApp??
Kwani umeambiwa lililipuka akiwa amelala kitandani?Walikuwa wanalala kitanda kimoja na body guard?
Ana juhudi kwelikweli.Mwacheni jamaa wa watu aendelee kufaidi bikra,muda huu amebakiza 32 ameshatindua 40.
Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.
Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
View attachment 3064005
R. I. P Kamanda Haniyeh.
Huyo fundi anayewashoneaga hizi suruali Allah anamuonaHii ni kambaView attachment 3064167
Alikua amelala wapi kama sio kitandani?! Maana bomu lilipuka usiku wa mananeKwani umeambiwa lililipuka akiwa amelala kitandani?
Hata ww lazima unye tu cku ya kuchomolewa rohoMaiti ya Ismail Haniyeh ilikutwa imejaa kinyesi, hii inadhihirisha alifumuliwa utumbo
Kilipuzi chenye ukubwa wa inchi 3x6 , sawa na tofali la kuchoma kilichotegwa chini ya kitanda na vijana wa Ansar al-Mahdi security waliokuwa wakilinda nyumba ya wageni mjini Tehran, Iran.
Inaaminika ya kuwa walinzi hao walitumwa na mossad kutekeleza mpango huo wa muda mrefu.
Mpaka sasa, Iran bado haijajibu mashambulizi kwa Israel kama ilivyoahidi zaidi ya kutoa vitisho vingi.
View attachment 3064005
R. I. P Kamanda Haniyeh.
Raisi wa Irani ameshtukia mtego huo kuwa Israel hahusiki na kumuua Isamil Haniyeh na kwamba ukweli ni wakuu wa ulinzi walifanya makusudi ili Raisi mpya ajipe ghadhabu aingie vitani na Israel.
Lakini Rais Masoud ni msomi mwenye msimamo wa wastani na mzalendo mwenye upeo mkubwa, hivyo amechomoa fuse, amegoma kuingia vitani na Israel akihofia Israel wakijibu wataiyumbisha Iran kiuchumi na maisha ya wairan yatayumba. Amemgomea Mkuu wa nchi kidini na wakuu wa vitengo vya usalama wa nchi.
Nampongeza kwa akili kubwa kama hiyo.
Kwa hiyo visasi vimeahirishwa!
Uongo mkubwa chumba kilipigwa na kilipuzi kutoka kwa nje hamasi wameshachora mchoro wote wa tukio uko kwenye group
Naam mkuu. Nimesikia waniitaKumbe hii ni habari ya State Propaganda
Ohoo🤣🤣🤣🤣habibiiiMbona wanasema alikufa pamoja na bodyguard wake?! Ina maana walikua wamelala kitanda kimoja ?
Group lipi ?Uongo mkubwa chumba kilipigwa na kilipuzi kutoka kwa nje hamasi wameshachora mchoro wote wa tukio uko kwenye group