GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi msisahau majimbo yenu, 2025 ni kesho kutwa, na sisi tunataka Rais huyu [Samia Suluhu Hassan] arudi madarakani. Na wajumbe wanawasubiri."- Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Chanzo: Swahili Times Mtandaoni
Lini uliteuliwa kuwasemea Watu wote?
Chanzo: Swahili Times Mtandaoni
Lini uliteuliwa kuwasemea Watu wote?