Kumbe Israeli 'akitukosakosa' kuondoka nasi mazima Udongoni hadi Mbinguni na Kunusurika huwa tunakuwa Kero na Kituko hivi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi msisahau majimbo yenu, 2025 ni kesho kutwa, na sisi tunataka Rais huyu [Samia Suluhu Hassan] arudi madarakani. Na wajumbe wanawasubiri."- Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.

Chanzo: Swahili Times Mtandaoni

Lini uliteuliwa kuwasemea Watu wote?
 
Huyo aliyeongea ni makamu wa rais, kifupi ameongea alichotaka rais na mwenyekiti wa chama.. na kama ilivyo ada..ndio msimamo wa chama. Labda usubirie tu siku ukitamkwa na watu ambao unatamaani watamke
 
Sasa hivi wanawaza 2025 tu ndio maana wanavurugana na kufanya maamuzi ya ajabu ajabu.
Wanatoa kauli za ajabu ajabu.
Mfano wanapeana ruhusa wakale lakini wasizidishe kiasi cha kuvimbiwa.
Wanapeana kazi ambazo hazipo ktk muundo wa serikali ....
 
Siku zingine huwa unapiga mafyongo kweli. Nakuheshimu, la siyo ningekwambia ukaungane na Mshana jr kwenye kundi wa wabaguzi wa kikabila.
He.. Mshana Jr kaanza lini ubaguzi wa kikabila? Halafu hapa JF sio kila kitu ukichukulie very serious, utapata vidonda vya tumbo, stress, moyo utatanuka, mirija ya moyo itavimba, damu yako itategeneza mabonge, na maradhi mengi yatakwandama.

Pascal Mayalla ameshawahi kusimangwa humu mpaka basi. Tena simango zito hadi akapewa tuhuma za kumshawishi Magu amtie ndani Erick Kabendera.

Mama mzazi wa Erick alipofariki, simango ndio likawa kubwa maradufu, je kwanini Pascal Mayalla hakuathirika na maneno ya wananzengo?

Kwakuwa hakuyatilia maanani na hakuyaweka moyoni ila alijiburudisha na aroma nzuri ya Johnny Walker.

I jumaa Kareem
With love from Bujibuji Simba Nyanaume a.k.a Nabii asiye na kusanyiko, nabii asiyetenda miujiza ila mwenye upendo wa dhati.
 
Ila Mungu ni mzuri. Wengineo wengi Mungu atawakatilia mbali kabla ya 2025. Hivyo watafanya maandalizi lakini hawatofika!
 
Nchi ya ahabu sana hii.
Wenzetu wana vision za miaka 200 ijayo huko.
Huku kwetu majitu ya ccm yanawaza 2025 eti kumrudisha Hangaya madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…