Kumbe Jaji Mkuu Maraga anaishi Kisumu?

Maraga anatoka Nyamira county...pili anaishi mtaa wa Karen,Nairobi
Maraga ni Mkisii wala siyo Mjaluo, acheni uzushi wenu. Piganeni na Hali zenu msitafute tena pressure mliyoipata baada ya Uhuru wenu kutenguliwa ushindi wake.
 

Mwenzetu anadhani watu wote wa kutoka Nyanza Province ni Luo. Wakisii wamo ila wapo Nyamira Kisii na Wengine Migori! Correct me if am wrong.
 
Hiyo ni think tank ya chama pale lumumba!!!
 
Kichwa chako kina ubongo kweli au ni vaccum. Open the servers.
 
Mwenzetu anadhani watu wote wa kutoka Nyanza Province ni Luo. Wakisii wamo ila wapo Nyamira Kisii na Wengine Migori! Correct me if am wrong.

Huyu mamarosa ni yule jamaa wa kutoka sumbawanga aliepovushwa macho na ccm .nyanza province ina county sita ,kisumu,homabay ,siaya,those are pure luo with some suba,then kisii and nyamira those are kisii's Bantu tribe,migori county is made up of some luhya,luo and kuria .
 
Kwelii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…