Kenny Hill
Member
- Aug 26, 2013
- 65
- 61
Kumbe Rais Mpya wa TFF (mtarajiwa of course kama wajumbe wana akili) ni mdogo wake Dioniz Malinzi. Kwaiyo Mwenyekiti wa BMT na Rais wa TFF wote ndugu moja.
Ila tukiacha masihara wagombe wote safari hii hawafai na tunampenda Malinzi kwakuwa ndio ana kauhafazali. Nyamlani ni tapeli kabisa. Na kama mnavyojua TFF ni shamba la bibi tukimpa Nyamlani atafilisi kabisa
Jamal (left) akiwa na Sepp Blatter wa Tanzania Leodgar Tenga
Jamal Malinzi
Braza ake Ndugu Dionis Malinzi Ambae Aliteuliwa na (Dr. Wa Uongo) Nchimbi kuwa mwenyekiti wa BMT
Iwe Dionis
Iwe Dionis akisalimiana na Mkulu
Tapeli Nyamlani (aliesimama) akiwa na Kayuni Sunday Kayuni (right) na Thadeo
Ila tukiacha masihara wagombe wote safari hii hawafai na tunampenda Malinzi kwakuwa ndio ana kauhafazali. Nyamlani ni tapeli kabisa. Na kama mnavyojua TFF ni shamba la bibi tukimpa Nyamlani atafilisi kabisa
Jamal (left) akiwa na Sepp Blatter wa Tanzania Leodgar Tenga
Jamal Malinzi
Braza ake Ndugu Dionis Malinzi Ambae Aliteuliwa na (Dr. Wa Uongo) Nchimbi kuwa mwenyekiti wa BMT
Iwe Dionis
Iwe Dionis akisalimiana na Mkulu
Tapeli Nyamlani (aliesimama) akiwa na Kayuni Sunday Kayuni (right) na Thadeo