Kumbe Jamal Malinzi ni Mdogo Wake Dionis Malinzi. Duuh

Kenny Hill

Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
65
Reaction score
61
Kumbe Rais Mpya wa TFF (mtarajiwa of course kama wajumbe wana akili) ni mdogo wake Dioniz Malinzi. Kwaiyo Mwenyekiti wa BMT na Rais wa TFF wote ndugu moja.

Ila tukiacha masihara wagombe wote safari hii hawafai na tunampenda Malinzi kwakuwa ndio ana kauhafazali. Nyamlani ni tapeli kabisa. Na kama mnavyojua TFF ni shamba la bibi tukimpa Nyamlani atafilisi kabisa


Jamal (left) akiwa na Sepp Blatter wa Tanzania Leodgar Tenga


Jamal Malinzi


Braza ake Ndugu Dionis Malinzi Ambae Aliteuliwa na (Dr. Wa Uongo) Nchimbi kuwa mwenyekiti wa BMT



Iwe Dionis


Iwe Dionis akisalimiana na Mkulu



Tapeli Nyamlani (aliesimama) akiwa na Kayuni Sunday Kayuni (right) na Thadeo
 


Naskiaga eti huyu ndio baba wa Loveness Malinzi a.k.a "Diva The Boss"
 
Kumbe Diva ni Muhaya , mbona huwa ana sema kao ni Tanga ?
 
Huyo wa BMT alipewa ulaji na Nchimbi wa kuzurula duniani kutafuta vazi la taifa,sijui limeishia wapi.
 
Huyo malinzi amefanya nini!?
Nyamlani unamuita tapeli ila ndio kainyanyua Mbeya city, na mwakani inakuja mbozi, he practice what he preach. Nnachokiona hapa ni Malinzi kutapatapa mtandaoni na kujaribu mfitini mwenzake, kiongozi anayesema ntafanya na sio nishafanya ni majanga, he is just like the others.
 
Mods ondoa huu uchafu, haustahili mezani kwa great thinkers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…