Baadaye jamaa yangu nyani.Ngoja nikabebe mizigo ya abiria stendi.Tunaita ndwika.Nikuitie Kiranga au tuendelee siye wawili?
Linakuja kwa hisani ya Muhasibu daraja la kwanza ndugu OKW BOBAN SUNZUNasikia ni bonge la goli nimelitafuta sijaliona atakaye kuona aliweke hapa kwa kunitag
Kwani afungagi mbumbumbu fc π€£π€£ kakukanda mara ngapi?Hongereni Uto kwa mchezaji wenu kufunga. Maajabu haya
Mayele ni mchezaji wa Pyramids πKumbe jana watu wametetema huko kwa farao,
π€£Mayele ni mchezaji wa Pyramids π
Wewe ni mpumbavu mmoja,jinga sana ."MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
π€£Wewe ni mpumbavu mmoja,jinga sana .