Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Sio wa nchi hiiHahahaa kaka bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wa nchi hiiHahahaa kaka bwana
Wengine sura za baba zetuuu[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine sura za baba zetuuu[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Upojee lakinii kwani tumeomba kuwa na sura za baba zetuWengine sura za baba zetuuu[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndivyo ilivyoUpojee lakinii kwani tumeomba kuwa na sura za baba zetu
[emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!!hapana!!!ndo ukweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unanisema au
Ila acha tu.
Hivi upojeeee....[emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]si ndo ukweli lakiniHapana ndivyo ilivyo[emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!!hapana!!!ndo ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka naomba heading nikautafute
Asante kaka angu kipenzi.Kwa heshima na taadhima.
https://www.jamiiforums.com/threads...u-hataki-rudisha.1528437/page-9#post-29799482
Asante kaka angu kipenzi.
Dahh!!!
Ila wamenikera, kwanini asitajwe tu...
Ila hatuwezi jua makubaliano yao
Hivi upojeeee....
Mpaka waanze kunikimbia humu na kunipea shkamoo eehh
Wanatupa kwa mapenzi. Kibaya kukopa jamaniIla acha tu.
Ingekuwa wanawake tunaanikwa hivi kwa wanaume wanaotupa pesa humu Jf, hali ingekuwa tafarani
Kwa usawa huu...laki 2 ni kubwa sana kaka.Sidhani kama kulikuwa na makubaliano, vinginevyo njemba asingekuja hadharani kutaka kumlipua aliyembamiza. 200K si kidogo Madame B.
Hahaha hahaha hahahaHebu hukooo...wabaya hutuonii eeeehhh
[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mwaya
Kakopesha ndevu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe ushaingia king tayar, kuna mwenzako huko kapigwa mia mbili alfu, nae anadhani alomkopesha ni mwanamke
Anavyoona I'd za majina matamu matamu Basi udenda huu hapa