Kumbe Kamati za Bunge zina nguvu sana. Hayati Magufuli alikuwa anasema kila anachofanya kimepitishwa na Bunge watu wakabisha. Ahsante Nape Nnauye!

Je hao wabunge huwa wanawasilisha mawazo waliyotumwa na wananchi kweli au huwa ni mawazo yao binafsi? Wananchi wanasema wanahitaji barabara nzuri, shule nzuri, vituo vya afya na dawa, maji salama, lakini Kamati inasema wananchi wanahitaji ndege
Kikawaida wabunge wa bongo huzungumzia biashara zao tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…