Wewe ni mwanamke au mwanamme?Kale kajamaa kanajiita kagwiji ka kuchamba kama vile kuchamba ni tabia ya mwanaume!
Tumepata taarifa zake za ndaani kanamlilia mdada anayejulikana kama silver ikitafsiriwa kwa kiswahili cha waliokimbia darasa.
Nimeshangazwa na mtu anayejiita mwanaume analilia penzi na kujibebisha ijapo bidada anamuumbua kwa kuwa hana hisia nako.
Mwambieni wanaune huwa hawapaswi kulilia mwanamke. Kujiliza liza mbele ya mdada ni dalili ya udhaifu mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Alitakiwa ajiite Cashwoman nashangaa kajisahauWewe ni mwanamke au mwanamme?
Jamaa ni upinde kwahy usijisumbue.Kuna walakini katika chaguzi ya maneno yako ikiwa wewe ni wa kiume.
King'ang'a
Kuchamba
Kujibebisha.
Chief, bado muda upo, badilika mzee baba.
Wewe upo na medula outdated sana kijana kama unamcheka binadamu kulia.Kale kajamaa kanajiita kagwiji ka kuchamba kama vile kuchamba ni tabia ya mwanaume!
Tumepata taarifa zake za ndaani kanamlilia mdada anayejulikana kama silver ikitafsiriwa kwa kiswahili cha waliokimbia darasa.
Nimeshangazwa na mtu anayejiita mwanaume analilia penzi na kujibebisha ijapo bidada anamuumbua kwa kuwa hana hisia nako.
Mwambieni wanaune huwa hawapaswi kulilia mwanamke. Kujiliza liza mbele ya mdada ni dalili ya udhaifu mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe upo na medula outdated sana kijana kama unamcheka binadamu kulia.Kale kajamaa kanajiita kagwiji ka kuchamba kama vile kuchamba ni tabia ya mwanaume!
Tumepata taarifa zake za ndaani kanamlilia mdada anayejulikana kama silver ikitafsiriwa kwa kiswahili cha waliokimbia darasa.
Nimeshangazwa na mtu anayejiita mwanaume analilia penzi na kujibebisha ijapo bidada anamuumbua kwa kuwa hana hisia nako.
Mwambieni wanaune huwa hawapaswi kulilia mwanamke. Kujiliza liza mbele ya mdada ni dalili ya udhaifu mkubwa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app