Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Habari za mida hii je nyie ni wazima wote Nyumbani hapo, kuanzia baba, mama, kaka zako dada zako ndugu zako wifi zako waambie nawasalimia aaah nimesahau🤦 nyau wenu pia mwambie namsalimia😜
Okey baada ya kutoa utambulisho wa nguvu twende kwenye mada yetu sasa, ipo hivi jana bwana kuna mdada alikuwa anawapa story rafiki zake wampe ushauri kwamba ana bwana ake huyo wakiwa wanafanya Mapenzi yule jamaa akipiga bao la kwanza huyo anatoka ndukiiii😲 anaenda mpaka kwenye msalaba ndani humo basi anapiga magoti chini anaanza kusali na kukemea yani kama anakuwa anajuta flani hivi,
Anaskitika kweli akishamaliza anarudi tena kuendelea kutafuta la pili😂 akimaliza kulimwaga huyo tena anachomoka😂😂 wapi eneo lile lile anarudia kile kitendo chake cha kulaani na kukemea kujuta, sasa wajameni mi nilicheka weeeee Nikasema nilete humu Mnaweza mkasaidia huyo ni mtu wa Namna gani?
👋🤪🏃🤦
Okey baada ya kutoa utambulisho wa nguvu twende kwenye mada yetu sasa, ipo hivi jana bwana kuna mdada alikuwa anawapa story rafiki zake wampe ushauri kwamba ana bwana ake huyo wakiwa wanafanya Mapenzi yule jamaa akipiga bao la kwanza huyo anatoka ndukiiii😲 anaenda mpaka kwenye msalaba ndani humo basi anapiga magoti chini anaanza kusali na kukemea yani kama anakuwa anajuta flani hivi,
Anaskitika kweli akishamaliza anarudi tena kuendelea kutafuta la pili😂 akimaliza kulimwaga huyo tena anachomoka😂😂 wapi eneo lile lile anarudia kile kitendo chake cha kulaani na kukemea kujuta, sasa wajameni mi nilicheka weeeee Nikasema nilete humu Mnaweza mkasaidia huyo ni mtu wa Namna gani?
👋🤪🏃🤦