Kumbe kelele kubwa ya Rais Ramaphosa wa SA kwa Kagame kuhusu Congo inachagizwa na maslahi binafsi pia!

Kumbe kelele kubwa ya Rais Ramaphosa wa SA kwa Kagame kuhusu Congo inachagizwa na maslahi binafsi pia!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wakati watu wanashanga ujasiri wa Kagame kutupiana maneno na Ramaphosa wa SA kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC, mtandaoni kuna lawama chungu nzima za raia wa Africa Kusini wakimlaumu rais wao Ramaphosa kuongozwa na maslahi ya makampuni binafsi na yake mwenyewe kupeleka majeshi Congo.

Baadhi ya raia wanadai Ramaphosa haongozwi na maslahi ya kiutu bali ni makampuni mengi ya SA yaliyopo Congo hasa kwenye sekta ya madini ambayo yamepewa kipaumbele zaidi na Rais Tshisekedi wa DRC baada ya kuingia madarakani.
Kama ni hivi huu mgogoro ni mgumu kuliko unavyoonekana kwa juu juu tu!

Screenshot_20250131-085510_X.jpg


Haya hapa ni makampuni mengine ya South Africa yanayosemwa yamejikita kwenye sekta ya madini huko Congo.
20250131_085040.jpg
 
Wakati watu wanashanga ujasiri wa Kagame kutupiana maneno na Ramaphosa wa SA kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC, mtandaoni kuna lawama chungu nzima za raia wa Africa Kusini wakimlaumu rais wao Ramaphosa kuongozwa na maslahi ya makampuni binafsi na yake mwenyewe kupeleka majeshi Congo.

Baadhi ya raia wanadai Ramaphosa haongozwi na maslahi ya kiutu bali ni makampuni mengi ya SA yaliyopo Congo hasa kwenye sekta ya madini ambayo yamepewa kipaumbele zaidi na Rais Tshisekedi wa DRC baada ya kuingia madarakani.
Kama ni hivi huu mgogoro ni mgumu kuliko unavyoonekana kwa juu juu tu!

View attachment 3219640
Pesa inapelekwa SA ya hizo kampuni kwa hivo huo ni sababu tosha ya kupeleka jeshi la nchi
 
Wakati watu wanashanga ujasiri wa Kagame kutupiana maneno na Ramaphosa wa SA kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC, mtandaoni kuna lawama chungu nzima za raia wa Africa Kusini wakimlaumu rais wao Ramaphosa kuongozwa na maslahi ya makampuni binafsi na yake mwenyewe kupeleka majeshi Congo.

Baadhi ya raia wanadai Ramaphosa haongozwi na maslahi ya kiutu bali ni makampuni mengi ya SA yaliyopo Congo hasa kwenye sekta ya madini ambayo yamepewa kipaumbele zaidi na Rais Tshisekedi wa DRC baada ya kuingia madarakani.
Kama ni hivi huu mgogoro ni mgumu kuliko unavyoonekana kwa juu juu tu!

View attachment 3219640
Ramaphosa ni muwekezaji mkubwa katika sekta ya madini, ni bilionea na hiyo ndiyo biashara yake kubwa.
Kiukweli kwa kuwa wanalinda maslahi yao binafsi ni bora wakatumia private army kuliko kupeleka askari katika risks kwenye mambo yake binafsi labda kama kiaina anawapa mazoezi ya kivita kimtindo.
Screenshot_20250131-100112.jpg
 
Mbona Marekani huwa inalaumiwa ikiweka vituo vya kijeshi kwenye nchi zenye maslahi nazo kama Saudi Arabia, Qatar, Iraq, Korea Kusini n.k?
Analaumiwa na nani? Lawama za watu sio kitu kwenye masirahi ya nchi.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Sawa lakini mwekezaji halili tofauti na kagame anayetumiwa na mabeberu kuivuruga Congo
 
kwahiyo Anglo Gold Ashanti inafanya smuggling? Wacha upumbavu! Anglo Gold Ashanti ni kampuni inayofanya biashara zake kihalali! Huwezi kulinganisha na wizi wa Watutsi DRC!
Hao watutsi wanaiba ila wananchi wa pande za huko wanaona jambi......madini wakichimba wakina Tshisekedi pesa zinapelekwa parii kazi kutanua ulaya ndo maana hadi jeshi lao wanashindwa kuwalipa vizuri, kombati zinatia aibu na mda wote huo na wao wanachimba madini pesa wanapata,,,,,lazima M23 awe na support huko mashariki maana wananchi wanajua serikali ikichukua hayo maeneo yenye madini watanufaika tu Kinshasa wakatumbue na kukata mauno huko ulaya
 
Hao watutsi wanaiba ila wananchi wa pande za huko wanaona jambi......madini wakichimba wakina Tshisekedi pesa zinapelekwa parii kazi kutanua ulaya ndo maana hadi jeshi lao wanashindwa kuwalipa vizuri, kombati zinatia aibu na mda wote huo na wao wanachimba madini pesa wanapata,,,,,lazima M23 awe na support huko mashariki maana wananchi wanajua serikali ikichukua hayo maeneo yenye madini watanufaika tu Kinshasa wakatumbue na kukata mauno huko ulaya
Huko sahihi, inasemekana M23 wamejigeuza wazelendo wa raia dhidhi ya uporaji mkubwa wa rasilimali ardhi unaofanywa na serikali kuyapa makampuni ya madini japo na wao wakichukua maeno wanageuka mabwana vita wapya wakishirikiana na Rwanda kuchota madini.
 
Hao watutsi wanaiba ila wananchi wa pande za huko wanaona jambi......madini wakichimba wakina Tshisekedi pesa zinapelekwa parii kazi kutanua ulaya ndo maana hadi jeshi lao wanashindwa kuwalipa vizuri, kombati zinatia aibu na mda wote huo na wao wanachimba madini pesa wanapata,,,,,lazima M23 awe na support huko mashariki maana wananchi wanajua serikali ikichukua hayo maeneo yenye madini watanufaika tu Kinshasa wakatumbue na kukata mauno huko ulaya
Peleka ujinga! Watutsi ni wavamizi pale!
 
Kipindi hiki utawajua kibaraka wa Kagame kwenye mitandao ya kijamii ikiwepo JF. Wanachofanya ni information warfare, ikiwemo mleta mada na wengine. Ili kuijengea taswira njema na ushindi M23, Kagame na Jeshi la Rwanda


Uzuri historia inajieleza, Jimbo North Kivu kina utajiri wa madini mbalimbali yenye soko Dunia katika masuala ya kieletroniki, Kagame anayachukua hayo kupitia M23 ambayo ni ya watusi wenzake. Akiguswa M23 ameguswa Kagame lazima akasirike na kuropoka. Ndio maana amekuwa msemaji wao sasa hivi.
 
Sawa lakini mwekezaji halili tofauti na kagame anayetumiwa na mabeberu kuivuruga Congo
Ivanhoe Mines na Glencore ni makampuni makubwa ya West wakishirikiana na SA yenye migodi mikubwa DRC.
 
kwahiyo Anglo Gold Ashanti inafanya smuggling? Wacha upumbavu! Anglo Gold Ashanti ni kampuni inayofanya biashara zake kihalali! Huwezi kulinganisha na wizi wa Watutsi DRC!
Ndio maana ni upuuzi mkubwa sana mtu kusema mabeberu wa west wanashirikiana na Kagame pamoja na M23 kuleta vita Congo.
 
Back
Top Bottom