Kumbe kelele kubwa ya Rais Ramaphosa wa SA kwa Kagame kuhusu Congo inachagizwa na maslahi binafsi pia!

Kumbe kelele kubwa ya Rais Ramaphosa wa SA kwa Kagame kuhusu Congo inachagizwa na maslahi binafsi pia!

Lakini SI yapo kihalali kwanini kagame anataka kuingia Kwa mgongo wa nyuma?
Ndio maana ni upuuzi mkubwa sana mtu kusema mabeberu wa west wanashirikiana na Kagame pamoja na M23 kuleta vita Congo.
 
Wakati watu wanashanga ujasiri wa Kagame kutupiana maneno na Ramaphosa wa SA kuhusu mgogoro wa Mashariki ya DRC, mtandaoni kuna lawama chungu nzima za raia wa Africa Kusini wakimlaumu rais wao Ramaphosa kuongozwa na maslahi ya makampuni binafsi na yake mwenyewe kupeleka majeshi Congo.

Baadhi ya raia wanadai Ramaphosa haongozwi na maslahi ya kiutu bali ni makampuni mengi ya SA yaliyopo Congo hasa kwenye sekta ya madini ambayo yamepewa kipaumbele zaidi na Rais Tshisekedi wa DRC baada ya kuingia madarakani.
Kama ni hivi huu mgogoro ni mgumu kuliko unavyoonekana kwa juu juu tu!

View attachment 3219646

Haya hapa ni makampuni mengine ya South Africa yanayosemwa yamejikita kwenye sekta ya madini huko Congo.
View attachment 3219647
Tupe na kampuni za Rwanda ziporazo madini ya Congo.
 
Ndio maana ni upuuzi mkubwa sana mtu kusema mabeberu wa west wanashirikiana na Kagame pamoja na M23 kuleta vita Congo.
Kampuni za kihuni zipo Hadi ulaya hasa ufaransa ushawahi jiuliza kwanini kila koloni la ufaransa Lina vita na machafuko?

Na kwanini analazimisha kufungua kambi za kijeshi kwenye nchi za West Africa?
 
Aise!
Sijui na sisi huku tunapeleka majeshi yetu huko Kongo kwa maslahi ya nani!
Inafikirisha.
 
Ujielewi wewe US ana peleka jeshi sehemu zote ambazo ana maslahi nazo ,pale Syria jeshi la USA lipo sehemu ambazo ameshikilia mafuta ,ila kwakua ni Afriica ndo unapiga kelele
 
Back
Top Bottom