Kumbe Kenya ndio inaunda jiko nyingi sana duniani

Kumbe Kenya ndio inaunda jiko nyingi sana duniani

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Kuna huyu mzungu aliyeanzisha kampuni yake hapa Kenya ya kuunda efficient jiko ambayo haitumii makaa kwa wingi kwa jina la Jiko koa. Anasema kwamba kampuni yake sasa ndio inayotengeneza jiko nyingi zaidi duniani. Mwezi huu pekee wataunda jiko 70,000 na nyingi zinakuwa exported nje ya Kenya.

 
Taarifa nzuri sana hizi, soko la ajira linazidi kuboreka hali kadhalika uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom