Kumbe Kenya pamoja na kujidai koote na shirika lao la ndege walidhulumu ndege za EAC

sasa kwa nini hatukuwapeleka au hatuwapeleki mahakamani mbona watanzania tumekuwa kichwa cha mwendawazimu kiasi hiki.

Nasikia hako kandege kamoja tulikokapata kipindi EAC inavunjika kalitokana na rubani wa kitanzania mzalendo aliyejitoa kuirusha ndege kuja Tanzania bila ruhusa ya mamlaka za kenya na kidogo Kdf wamtungue
 
Ndio tatizo la watu kuishi kama nyumbu, hakuna kutumia akili ni kuendeshwa endeshwa na kuaminishwa chochote, yaani ukitazama nyumbu wanapovuka mto, akiruka wa kwanza wengine wanafuata hata kama wanaliwa na mamba. Yaani huwaga hamjiongezi wala kufanya utafiti, ukiambiwa na kuaminishwa unakurupuka.
Jiulize kama ndege zilikua za EAC, mbona Uganda aliufyata hadi leo hajawahi kuongea, na mbona Nyerere pia aliufyata na kuishia kuhimiza chuki dhidi ya Wakenya kimya kimya lakini mambo ya ndege hakua anayazungumzia. Leo hii ndege zimekua zinaaruka huko, mbona huwa hamzichukui kama kweli zenu....Fanyeni utafiti EAA ilikua na deni kiasi ngapi cha National bank of Kenya.....
 

Usiongee kama layman unajua na ww ni nyumbu vilevile. Ungekuja na kautafit ningekuelewa lakini ukija na story za abunwasi sijui nikuelewe vipi ww nyang’au. Prove me wrong
 
Usiongee kama layman unajua na ww ni nyumbu vilevile. Ungekuja na kautafit ningekuelewa lakini ukija na story za abunwasi sijui nikuelewe vipi ww nyang’au. Prove me wrong

Ukianzisha uzi wenye utata lazima uweke data ili upingwe kwa data, lakini ukitumia akili za kinyumbu unapingwa kinyumbu....
Mwisho wa siku huu uzi wako utajaa mipasho tu maana hukuanza na reference yoyote, ni full vijembe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…