christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,462
- 1,466
Kumbe jubilee wanatabia za kuiga mambo ya ccm...ndiyo za ccm kusombelea watu kwenye shughuli zao na kuwatelekeza shughuli ikiisha.Hehehe!! Jamaa amekimbilia kuanzisha uzi hadi ungedhani Waganda au Watanzania ndio walikusanywa na kuletwa Nairobi, kumbe ni Wakenya wa kutokea Kenya walikusanyika kuhudhuria uapisho wa rais wa Kenya kwa ajili ya Wakenya.
Mradi hawaonyweshwi kisu au bunduki haina shida.Kumbe jubilee wanatabia za kuiga mambo ya ccm...ndiyo za ccm kusombelea watu kwenye shughuli zao na kuwatelekeza shughuli ikiisha.
Mungu sikia sala zetu....yauwe yote manachama ya ccm na mashabiki yao....lichama hili ni Mzigo kwa taifa na ustawi wetu...Ee Baba tuokoe kwenye ukoloni huu wa MTU mweusi mwenzetu...Mradi hawaonyweshwi kisu au bunduki haina shida.
Kifo ni adhabu?Mungu sikia sala zetu....yauwe yote manachama ya ccm na mashabiki yao....lichama hili ni Mzigo kwa taifa na ustawi wetu...Ee Baba tuokoe kwenye ukoloni huu wa MTU mweusi mwenzetu...
Tosha sanaaaa....Kifo ni adhabu?
Ni nani?Tosha sanaaaa....
muulize aliyetaka kumuua lissu aliona kifo ni adhabu mujarabu??
Mzee WA frustration sssssNi nani?
SimfahamuMzee WA frustration sssss
Mama yakoSimfahamu
Haikosi wewe ni mpinzani kama wana-NASA.Mama yako