Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Kutokana na punguzo la Black Friday nilikua napita online niagize saa. Nimetembelea baadhi wa tovuti maarufu hapa Africa mojawapo ni hii Kikuu.
Tokea nimejua online market mpaka jana, ungeniuliza Kikuu ni ya wapi ningejibu ni ya hapa Africa.
Leo nimesoma 'about us' ya Kikuu imenisikitisha.
Wenye kikuu ndo hao hapo. Africa hatua B2C au mimi ndo sizijui?
Tokea nimejua online market mpaka jana, ungeniuliza Kikuu ni ya wapi ningejibu ni ya hapa Africa.
Leo nimesoma 'about us' ya Kikuu imenisikitisha.
Wenye kikuu ndo hao hapo. Africa hatua B2C au mimi ndo sizijui?