Mbona ina swaga zote za kichina, au mwenzetu unaiangaliaje? Mimi ambacho nilishangaa kuwa cha Kichina nikijua ni african product ni Alibaba, hilo jina nilidhani la Mnigeria mmoja fulani hivi.
mbona ina swaga zote za kichina,au mwenzetu unaiangaliaje? Mimi ambacho nilishangaa kuwa cha Kichina nikijua ni african product ni Alibaba, hilo jina nilidhani la Mnigeria mmoja fulani hivi.